Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
- Thread starter
- #41
Walio na namba za simu za Sugu wampigie athibitishe kuliko kujadili kitu tusichohakikishiwa tukio.
Confirmed mkuu tayari, soma post ya mkuu edson humu ndani ilikuwa ni maeneo ya chalinze wakitokea mbeya kwenda msibani, ila waliwahi kuuzima moto kwa fireexitinguisher iliyo kuwa ndani ya gari na baadaye wakawasiliana na cdm makao makuu mafundi wakaenda eneo husika na gari likavutwa hadi Dar