Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,330
Aisee!!!!!
Du umenistua uliposema AISEE, maana ukiisema hiyo kinachofatia ni mwereka
Aisee!!!!!
Lilipuke tu ili Insurance companies nazo ziwajibike!!!
source mkuu tujulishe na imetokea wapi.mana unatuweka mioyo juu
provided hamna aliyeumia, likiungua hamna tatizo !!hivi insurance company zinaweza pia kurudisha uhai wa mtu???!!!
achana naye huyu ana tatizo la mtindio wa ubongo. amejaza makamasi kichwani ndo anayotumia kufikiri. sasa wewe unategemea nini hapo?hivi insurance company zinaweza pia kurudisha uhai wa mtu???!!!
Nina maanisha kuwa hiyo gari kama imelipuka, atalipwa jingine provided ana comprehensive Insurance...
Wewe unatumia nini???
Sijafurahia...nilichofanya ni kuwakumbusha watu umuhimu wa BIMAMkuu mbona hivyo? Inamaana ikiwa ni kweli we kwako ni poa tu?? Hata kama kuna bima huwezi kufurahia ajali ya mwenzio.
provided hamna aliyeumia, likiungua hamna tatizo !!
Lilipuke tu ili Insurance companies nazo ziwajibike!!!
ukiweza kumwelewesha huyo kihiyo rejao utakuwa mwalimu bora kuliko wote tzI think i better opt this:
"If you think I'm against what you believe...NIPOTEZEE!!!!"
Hizi kampuni zinamake super normal profit!! kwa hiyo acha ziwajibike tu!!
MMh....si utaje tu? mtu mzima unakuwa na aibu!!We jamaa kama mchwawi vile...
Ndio maana una sura kama ulidondoka bafuni wakati unapiga zile naniii wanazopiga mavulana za kujichua...
Haahahah...hizo roho mbaya na nzuri ndio zikoje? is roho=moyo?roho baya kama avatar yako.
Sijaongea chochote mkuu....nimetype tu on screen...sasa sjui hicho kinywa au masaburi vinatoka wapi hapa!!sawa tunalijua hilo lakini nakuuliza hayo maneno yametoka kinywani mwako au kwenye masaburi
ndiyo..
wakati sugu anatoka mbeya the same day dada Regia alipopata ajali ; gari la sugu nalo liliungua moto maeneo ya chalinze kwa mathias.....sugu anasema alitoka mbeya salama na gari lilikuwa limefanyiwa service...lakini kufka maeneo ya chalinze wakaanza kusikia harufu ya kitu kama kinaungua(yeye na wengine waliokuwa ndani ya gari pamoja na mhe.Silinde) harufu ile wadhani ni ya gari lingine walilopishana nalo.....
walipofika mbele kidogo wakakutana na Hiace ya abirian na konda aliyekuwa ametoa kichwa nje akaliona gari la sugu likiwaka moto kwa chini ..ndipo alipowaambia kuwa ''gari lenu linawaka moto'' ...sugu na wenzake wakashuka haraka na kweli wakaona vyuma vya chini ya gari vinawaka moto na hap wakachukua fire extinguisher iliyokuwan ndai ya gari na kuanza kuzima moto huo....
badae waliwasiliana na makao makuu ya chadema na mafundi waliletwa pale na baadae likavutwa hadi dar.....
Lilipuke tu ili Insurance companies nazo ziwajibike!!!
Lilipuke tu ili Insurance companies nazo ziwajibike!!!
Scenario za magari kuungua huwa nyingi ni michoro! ni mara chache sana utasikia mtu ameumia!what about walio ndani ya gari?
I think i better opt this:
"If you think I'm against what you believe...NIPOTEZEE!!!!"
Kichwa kama sambusa eboo
Dah!! watu hamuelewi umuhimu wa Insurance?Hapa duniani kuna viumbe vya ajabu!