batan
JF-Expert Member
- Jan 15, 2016
- 417
- 364
Gari la shirika la posta Ruvuma linafanya safar ya Songea makambako kwa kupakiza abiria na uku likiwa na usajir wa shirika la uma.Kama hii kitu inawezekana basi mashirika mengine yaige mfano huu ili kuongeza mapato kwa shirika.. Hapa likiwa stend ya msamara mjini Songea likisubir folen yake ifike lichukue abiria.