Si ajabu marehemu akafunguliwa kesi ya
-kugonga gari la mkuu.
-Kutokuwa makini barabarani,
-Kumchelewesha na kumsababishia usumbufu mkuu.
MAANA NCHI HII UHAI WA MTU SI KITU CHA THAMANI TENA.
Unajuaje kuwa hajatoa pole?Mbona mkuu hajatoa pole kwa wafiwa
duh!!Awamu hii Wana vibali vya kila kitu!
Nimekuja mkuu ferg,........je unajua maana ya ajali?!Yehodaya, Johnthebaptist, njooni huku