Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
NDUGU yangu NAJUA hunijui
Omba Salii funga sanaa UKIONA vita imeanza hivi MDA WA kujifunga mkanda na Mungu ama upande WA pili asimame NA wewe mpaka MWISHO WA kampeni
POLENI sana wafiwa pole sana kaka ERICK kwa kuhairbikiwa GARI
Aliefariki ni dereva wake
===
Gari ya Mtangazaji wa TBC Enock Bwigane ambaye pia ametangaza nia ya kugombea Ubunge Jimbo la Rungwe imepata ajali na dereva wake Godwin Bakamba amefariki dunia.
Enock Bwigane amesema “gari yangu imehusika katika ajali ndugu yangu aliekuwa kama dereva wangu Godwin Bakamba amefariki dunia katika ajali iliyotokea usiku, katika tukio Mimi sikuwepo katika tukio la ajali husika’
‘Alinileta nyumbani akawa anaenda kwake ndio akapata ajali alikuwa anaelekea nyumbani kwake, tupo tunafuatilia taratibu za mwisho ili tuweze kumpuzisha leo” Enock Bwigane.
Omba Salii funga sanaa UKIONA vita imeanza hivi MDA WA kujifunga mkanda na Mungu ama upande WA pili asimame NA wewe mpaka MWISHO WA kampeni
POLENI sana wafiwa pole sana kaka ERICK kwa kuhairbikiwa GARI
Aliefariki ni dereva wake
===
Gari ya Mtangazaji wa TBC Enock Bwigane ambaye pia ametangaza nia ya kugombea Ubunge Jimbo la Rungwe imepata ajali na dereva wake Godwin Bakamba amefariki dunia.
Enock Bwigane amesema “gari yangu imehusika katika ajali ndugu yangu aliekuwa kama dereva wangu Godwin Bakamba amefariki dunia katika ajali iliyotokea usiku, katika tukio Mimi sikuwepo katika tukio la ajali husika’
‘Alinileta nyumbani akawa anaenda kwake ndio akapata ajali alikuwa anaelekea nyumbani kwake, tupo tunafuatilia taratibu za mwisho ili tuweze kumpuzisha leo” Enock Bwigane.