wiseboy
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 2,931
- 3,299
Wewe unanunua passo au vitz ya milion 5 mbwembwe nyingii...unaweka alarm...funguo unaficha mbalii...hutak mtu aiguse guse ...
Ila cha ajabu sasa wabongo wengi wananunua gari la milion 40 anampa teja amiliki tena muda wote hadi lizeeeke.....
Najiuliza gari ni kitu kinchosaminiwa sana na mtu yoyote akitaka kusafiri either kutoka kituo kimoja kwenda kingine au mtaa mmoja kwenda mtaa mwingine lazima utaona anaoga, anajiweka safi safi....cha ajab gari unaloenda kupanda unakuta linaendeshwa na dereva teja na konda teja...
Swali ninayojiuliza na naomba tusaidiane..
1. Je ni nn chanzo cha haya magari kuendeshwa na kusimamiwa na hawa mateja??
2. Je hakuna vijana wasafi watanashati wanaweza kurun hii huduma ya usafiri.
3. Je ni kwa nn madereva na kondakta hasa kondakta lazima afungie suruali kitambaa ama kamba ya katani na surual kuwa inalegea...
4. Kwa nn wachafuuuu na kauli zao chafu.
Nini tufanye ili hii huduma muhimu ambayo watumiaji wanajali usafi ila waliomo ndani ya gari hawajali usafi na utu.
Kama uko kwenye daladala tunaomba utupie picha ya konda alivyo vaa hapo sasa hivi
Ila cha ajabu sasa wabongo wengi wananunua gari la milion 40 anampa teja amiliki tena muda wote hadi lizeeeke.....
Najiuliza gari ni kitu kinchosaminiwa sana na mtu yoyote akitaka kusafiri either kutoka kituo kimoja kwenda kingine au mtaa mmoja kwenda mtaa mwingine lazima utaona anaoga, anajiweka safi safi....cha ajab gari unaloenda kupanda unakuta linaendeshwa na dereva teja na konda teja...
Swali ninayojiuliza na naomba tusaidiane..
1. Je ni nn chanzo cha haya magari kuendeshwa na kusimamiwa na hawa mateja??
2. Je hakuna vijana wasafi watanashati wanaweza kurun hii huduma ya usafiri.
3. Je ni kwa nn madereva na kondakta hasa kondakta lazima afungie suruali kitambaa ama kamba ya katani na surual kuwa inalegea...
4. Kwa nn wachafuuuu na kauli zao chafu.
Nini tufanye ili hii huduma muhimu ambayo watumiaji wanajali usafi ila waliomo ndani ya gari hawajali usafi na utu.
Kama uko kwenye daladala tunaomba utupie picha ya konda alivyo vaa hapo sasa hivi