Kishongo
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 932
- 64
CHADEMA haijawahi kuunga mkono fujo kama hizi, na watu waliofanya uhalifu huo n wahalifu kama wahalifu wengine; ni kazi ya Polisi kuwasaka wahalifu na kuwawajibisha wao kama wao, na si kutumia kama mtaji kisiasa kwani hatujui watu hao wana kadi za vyama gani!
Wahusika wanafahamika, ni CDM. Wahuni hawawezi kuacha asili yao.