CaptainDunga
JF-Expert Member
- Jul 17, 2009
- 1,567
- 1,375
Ni kutaifisha mbao,gari na kesi juu......kama ni kweli lakini.Ni gari la Mbunge Ally Ungando ambaye ni Mbunge wa Kibiti kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Gari hilo lilikuwa likisafirisha shehena ya Mbao kwa njia ya magendo kutoka Kibiti kwenda Dar es Salaam
Yeye asema dereva wake ndiye mhusika kwano yeye hakuwa na taarifa za mpango huo na asingeukubali