Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Tujadili mambo ya msingi. Hata kama Mbowe ataacha kulitumia hilo gari sioni kama itaongeza tija kwa maendeleo ya nchi. Aidha, hiyo ni haki yake kwa kuwa tayari gari hiyo ilishanunuliwa, hata akiicaha haiwezi kurudisha fedha, badala yake inatatumiwa na watazania tu. Mbowe alitaka kufikisha ujumbe kuwa hizo gari ni hanasa, na sasa imesaidia serikali imetangaza kuacha kuagiza mgari ya kifahari. Kwa hiyo suala halikuwa Mbowe hatatumia, bali alimaanisha kuendelea kununua magari ya aina hiyo ni anasa.
Hili Taifa limekuwa taifa la matokeo na matukio....Hatujadili sera wala itikadi.hatujadili falsafa wala mantiki....Tuna allergy na haya mambo sasa.Tunakoelekea ni kubaya.Ni kama vile tunafanya shooting ya filamu kali ya vichekesho.Tunajiandaa ku-suprise film fraternity!
Tanzania is disorganised, because our national structure is a fraud that was designed for theft and exploitation, rather than growth and production.Rather than an equitable society bolstered by strong institutions, we have inequality, death, destruction, wickedness and corruption propped up by chaos.