Gari la makuti na miti

Pape

JF-Expert Member
Dec 11, 2008
5,488
79
i1412_1743823935633280758008780730851088234847n.jpg


Habari ndiyo hiyo...
 
Mbona kazuri kweli haka ka gari kanafaa kwa utalii hapa kijijini kwetu mbunifu kajitadi sana
 
Fanyeni taratibu hata hapa kwetu vipatikane kama hivyo kwani nahisi bei yake itakuwa poa
 
Mwendo wa gari 10km/hr ukienda spidi zaidi ya hapo unaacha bodi,
kimbunga kikija gari litafutie chumba cha kulala!!
 
Back
Top Bottom