ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,270
- 15,305
Siku hizi picha hamna basi inakuwa kama upashkuna flani hivi.
Hizi ajali zichunguzwe vizuri ili ijulikane ni kwa nini zinatokea Morogoro tu ambako ni karibu na Dar.
Kuna uwezekano mkubwa wa mafuta yanayokuwepo kwenye magari haya kiasi kikubwa kinakuwa kimenyonywa njiani na ili uharibu ushahidi ni lazima uangushe gari chini.
Kama wawekezaji wa kutoka nje wanavyosema kuwa Watanzania walio wengi si waaminivu na wanafanya wizi na udokozi wa Kijinga kwa tamaa ya kupata pesa za kufanya matumizi ya ovyo.
1. Uzinzi
2. Mziki
3. Ulevi
4. Kujenga nyumba za kifahari ambazo hazina manufaa yoyote kiuchumi.
5. Kununua magari ya kifahari ambayo hayana tija kiuchumi
6. Kufanya sherehe kubwa ambazo hazina tija kiuchumi
7. Kusafiri ndani na nje na kutumia pesa nyingi bila sababu za kiuchumi.
8. Kujaribu kuingia kwenye Siasa ili kutafuta umaanufu bila kuwa na uzoefu katika Siasa.
Hayo maeneo kama sio mzoefu wa udereva huwa yanadanganya sana na barabara ina down fulani na mwinuko wa kushtukiza ndo kinachowaponza kupiga kofiDuh!!!
Morogoro hizo barabara zao zina tatizo gani? Kuna kitu hakipo sawa kuanzia labda kutokuwa salama kwenye mengi
You mean police are incapable of being blazed??Duh aisee pole yao.
Askari wawahi eneo la tukio haraka iwezekanavyo.
I mean wakahakikishe usalama unaimarishwaYou mean police are incapable of being blazed??
Hayo maeneo kama sio mzoefu wa udereva huwa yanadanganya sana na barabara ina down fulani na mwinuko wa kushtukiza ndo kinachowaponza kupiga kofi