Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuwa na subira, utaziona za walioungua!Picha pulizi!!!!
Watanzania sijui tutajifunza lini, gari limedondoka watu wanachota mafuta kama maji vile, kibaya zaidi vijana wanaiba vifaa vya gari!
Hao sasa ndo wanataka kuleta maafa kama yule John wa Idweli Mbeya.. Wakati wenzie wako busy kuchota mafuta yeye akaenda kujaribu kulitoa betri.. Akaleta maafa ambayo hayatasahaulika..!
Akijitokeza John mwingine itakuwa vizuri.