UKIWASHA LINA VIBRATE SAWA, UKIWA UNAENDESHA BADO LINAVIBRATE AU LINAACHA?
Ukishajiridhisha kama engine mounting zote ziko sawa, basi washa gari, akisha anza kuchomoa Coil moja baada ya nyengine, ukiona umechomoa coil akisha hakuna mabadiliko yoyote kwenye engine ujue hio coil imekwisha habari yake. Ukiona imebadilika basi endelea. Na ukigundua zote zipo sawa, anza kutizama plug nazo, kama zipo sawa, anza kuchomoa connection ya fuel injection moja moja kama vile coil ukiona hakuna mabadiliko engine kunguruma ujue hapo pana fitna.
Okay nenda kwa mafundi waambie wakuchekie hilo tatizoLinavibrate hasa nikibadilisha gia (kwa sababu ni Manual) kwahiyo ile mda gia inatake motion unasikia mtetemo haswa na pia likiwa silence unasikia mlio ambao hata masikio yanataka kuziba hivi
Hhahahahahahhahahha dah aisee unanidai lunchkitaalam sijui inaitwaje.....mimi huwa naita presha......either ipo juu or ipo chini.......iweke vizuri......
Ni either gearbox mounting au bolt kwenye gearbox imekatikaLinavibrate hasa nikibadilisha gia (kwa sababu ni Manual) kwahiyo ile mda gia inatake motion unasikia mtetemo haswa na pia likiwa silence unasikia mlio ambao hata masikio yanataka kuziba hivi
Mkuu wewe ni fundi?Ukishajiridhisha kama engine mounting zote ziko sawa, basi washa gari, akisha anza kuchomoa Coil moja baada ya nyengine, ukiona umechomoa coil akisha hakuna mabadiliko yoyote kwenye engine ujue hio coil imekwisha habari yake. Ukiona imebadilika basi endelea. Na ukigundua zote zipo sawa, anza kutizama plug nazo, kama zipo sawa, anza kuchomoa connection ya fuel injection moja moja kama vile coil ukiona hakuna mabadiliko engine kunguruma ujue hapo pana fitna.
Duuh si kwa majibu hayakitaalam sijui inaitwaje.....mimi huwa naita presha......either ipo juu or ipo chini.......iweke vizuri......
Sio fundi mkuu, ila kawaida yangu ni kupenda kujifunza. Nikipeleka chombo kwa fundi garage huwa nnauliza maswali mengi na huwa namtizama mwanzo mwisho anavofanya ufundi. Vile vile nafanya research yangu kwenye mitandao. Kusudi ili gari ikipatwa na tatizo najua nini nimwambi fundi na nakuwa nshajua anatakiwa aanzie wapi. mafundi wenyewe si unawajua walivo tena....Mkuu wewe ni fundi?