wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Hii si mara ya kwanza naona hili, tukio ni zaidi ya mara tano kwa gari kutema cheche za moto kwenye lile bomba la kutolea moshi nje (exousite) yaani cheche kama zile za mashine ya welding wakati wa kuchomelea.
Nimejaribu kuuliza sijapata majibu ya kuridhisha hivi huwa ni tatizo au ni kawaida maana nimepatwa na mshtuko isijekuwa linawaka ndani kwa ndani.
Naomba kama kuna wajuzi mnifafanulie tatizo ni nini
Nimejaribu kuuliza sijapata majibu ya kuridhisha hivi huwa ni tatizo au ni kawaida maana nimepatwa na mshtuko isijekuwa linawaka ndani kwa ndani.
Naomba kama kuna wajuzi mnifafanulie tatizo ni nini