Gari kuchemsha baada ya kuwasha A.C. sababu ni nini?

Gasket head ina uhusiano ganj na A/C
Gasket imefanyaje? na implication yake ni nini??
Head gasket ni ile gasket iliyopo katikati ya cylinder head na block , gasket hii ina kazi ya ku pitisha na ku seal vitu vitatu muhimu
1 coolant
2 compression
3 Oil

Inapotokea gasket hii imeungua (mara nyingi kwa kukosa coolant) Basi compression huingia katika mfumo wa coolant na ku pressurise mfumo huo ,hii husababisha coolant kupungua kutokana na pressure hiyo

Ac inasabaishaje !
Mfumo mzima wa Ac nao huzalisha joto Kali ambalo huwa decipated mbele ya coolant radiator kupitia condenser , unapowasha Ac , you are asking for a lot of heat , hapo Kama ulikuwa na head gasket issue ndo huji manifest

Kiufupi tu head gasket inapoungua husababisha udhaifu kwenye mfumo wa kupooza ,
 
Cylinder head gasket ikiungua gani inakua inachemsha ukitembea umbali flani.

Mtoa mada kaswma gari inachemsha akiwasha A/C ao tatizo lake halihusiani na cylinder head gasket ila ni a.c compressor inazunguka kwa shida hivyo kyoelekea injini.kutumia nguvu kubwa kuzunguka ndio maana inachemka.

Ingekuwa cylinder head gasket ingechemsha hata bila kuwasha .A.C
Hapana mkuu inategemea na damage kwenye gasket hiyo ! Gari inaweza ikawa na shida ya gasket na ikachemsha kwa pattern flan. Nimewahi kuendesha gari flan kwa muda mrefu likiwa na head gasket issue , nilichofanya nilisoma pattern za kuchemsha kwake nikawa naishi nalo

Engine za Toyota 1Kz (non intercooled) ni notorious kwa michezo ya kuchemsha ukiwasha Ac , na shida huwa ni gasket,
 
Head gasket ni ile gasket iliyopo katikati ya cylinder head na block , gasket hii ina kazi ya ku pitisha nanku selw vitu vitamu muhimu
1 coolant
2 compression
3 Oil

Inapotokea gasket hii imeungua (mara nyingi kwa kukosa coolant) Basi compression huingia katika mfumo wa coolant na ku pressurise mfumo huo ,hii husababisha coolant kupunguza kutokana na pressure hiyo

Ac inasabaishaje !
Mfumo mzima wa Ac nao huzalisha joto Kali ambalo huwa decipated mbele ya coolant radiator kupitia condenser , unapowasha Ac , you are asking for a lot of heat , hapo Kama ulikuwa na head gasket issue ndo huji manifest

Kiufupi tu head gasket inapoungua husababisha udhaifu kwenye mfumo wa kupooza ,
Jibu lako nimelipenda,ila nataka ufafanuzi kidogo,Coolant ina impac gani kwenye AC na Engine,kwamba ikikosekana kutakuwa na madhara gani,hapa sizungumzii gari la mleta mada hii ni issue yangu...
 
Niliwahi kupata changamoto hii kwenye gari dogo la Toyota. Kabla ya hapo, injini ilikuwa imefanyiwa overhaul. Baada ya matengenezo, hilo tatizo likaanza.

Baada ya mafundi wa injini kushindwa, akaitwa fundi wa umeme. Akawasha AC na kuzunguka na gari, joto likaanza kupata. Akagundua kuwa ile feni ya kupoza injini, ambayo ina mizunguko miwili, mmoja kwa ajili ya AC, na wa pili kwa ajili ya kupoza injini ilikuwa haifanyi kazi vizuri.

Feni ilikuwa inazunguka kupoza AC tu. Inafeli kwenye kuongeza kasi kupoza injini. Na tatizo lilikuwa kwenye switch ya kubadili huo mizunguko. Baada ya kubadili switch, huu ni mwaka wa 3, sijaona tena hilo tatizo.
Hii ni mfumo wa fern moja.Kulingana na ufafanuzi wa wadau inawezekana ni tatizo la head gasket au A.C Compressor.Inabidi kwanza nicheki hivyo vitu then nije na mrejesho.
 
Ni gari yangu aina ya Clavia Vitz,mara nyingi mida ya mchana joto likiwa kali,nikiwasha A.C gari ina nguruma zaidi then baadaye naona alama kwenye dash board kuonyesha injini imechemka.Nini shida hapo???

Mfumo wa upozaji injini uko dhaifu hauwezi kuhimili kazi kubwa
 
Hapana mkuu inategemea na damage kwenye gasket hiyo ! Gari inaweza ikawa na shida ya gasket na ikachemsha kwa pattern flan. Nimewahi kuendesha gari flan kwa muda mrefu likiwa na head gasket issue , nilichofanya nilisoma pattern za kuchemsha kwake nikawa naishi nalo

Engine za Toyota 1Kz (non intercooled) ni notorious kwa michezo ya kuchemsha ukiwasha Ac , na shida huwa ni gasket,
Kweli mkuu 1KZ zinashida sana ya kuchemsha pia linatatizo la kupoteza coolant , kuna moja nilikia naitumia nimegundua engine block inakutu hadi imesababisha vitobo vidogo haswa kwebte oil cooler..vipi wewe uliweza kulitatua hilo swala la cooling system?
 
Wadau mimi nina spacio new model ya mwaka 2004, cc 1490. Naomba kwa mwenye kufahamu anisaidie kujua inaingia lita ngap za transmission fluid. Mafundi wetu wa mtaani wananichanganya sana. Naomba msaada kabla sija ua kabisa gear box ya gari yangu
Unachotakiwa kufanya drain iliyopo halafu jaza mpya kiasi hicho hicho ulichotoa full stop.
 
Kweli mkuu 1KZ zinashida sana ya kuchemsha pia linatatizo la kupoteza coolant , kuna moja nilikia naitumia nimegundua engine block inakutu hadi imesababisha vitobo vidogo haswa kwebte oil cooler..vipi wewe uliweza kulitatua hilo swala la cooling system?
Hapana hafi Sasa bado sijafanikiwa kutatua tatizo hilo , ni gari ya familia linatumika hivo hivo na ishu za kuchemsha ,pattern zake ni ukitumia ac au unapohitaji kutumia nguvu nyingi kwa kutumia turbo lazima limwage Maji, kwa matumizi ya kawaida hutajiljua , mwaka wa 21 sasa .

1kz ni engine yenye nguvu sana Ila haikuwa optimized vya kutosha maana ni heavy sana kwenye diesel unapotembea mwendo mkali, na nahisi ni moja ya engine amabayo imeishi kwa kipindi kiufupi sana , mrithi wake akiwa , Kd series .
 
Hapana hafi Sasa bado sijafanikiwa kutatua tatizo hilo , ni gari ya familia linatumika hivo hivo na ishu za kuchemsha ,pattern zake ni ukitumia ac au unapohitaji kutumia nguvu nyingi kwa kutumia turbo lazima limwage Maji, kwa matumizi ya kawaida hutajiljua , mwaka wa 21 sasa .

1kz ni engine yenye nguvu sana Ila haikuwa optimized vya kutosha maana ni heavy sana kwenye diesel unapotembea mwendo mkali, na nahisi ni moja ya engine amabayo imeishi kwa kipindi kiufupi sana , mrithi wake akiwa , Kd series .
Mimi mwenyewe nililokua nalitumia ni la familia nilifanikiwa kutatua hilo swala la kuwasha A/C kuchemsha walienda kuipiga pasi cylinder head kwaio ikawa imekaa sawa changamoto iliopo ni kua siwezi kwenda mbali sana ime Dar Moro inachemsha inabidi ukienda umbali kidogo unaongeza coolant..mimi nampango ninunue engine block ingine, maana iliopo upande wa oil cooler kuna vitundu...shida ingine ni ukipandisha mlima kidogo lazima temperature icheze..ila lile cover la plastic la fan kwente rsdiator limekatika nitajaribu kupiga service niirudishe na thermostat mimi nataka nilifikishe level hizi ila naona wengi wanaongezea na intercooler
 

Attachments

  • Screenshot_20210207-195927_Gallery.jpg
    Screenshot_20210207-195927_Gallery.jpg
    98.6 KB · Views: 17
  • Screenshot_20210207-195917_Gallery.jpg
    Screenshot_20210207-195917_Gallery.jpg
    74.9 KB · Views: 17
  • Screenshot_20210207-195909_Gallery.jpg
    Screenshot_20210207-195909_Gallery.jpg
    73.8 KB · Views: 14
  • Screenshot_20210207-195900_Gallery.jpg
    Screenshot_20210207-195900_Gallery.jpg
    218.1 KB · Views: 14
Mimi mwenyewe nililokua nalitumia ni la familia nilifanikiwa kutatua hilo swala la kuwasha A/C kuchemsha walienda kuipiga pasi cylinder head kwaio ikawa imekaa sawa changamoto iliopo ni kua siwezi kwenda mbali sana ime Dar Moro inachemsha inabidi ukienda umbali kidogo unaongeza coolant..mimi nampango ninunue engine block ingine, maana iliopo upande wa oil cooler kuna vitundu...shida ingine ni ukipandisha mlima kidogo lazima temperature icheze..ila lile cover la plastic la fan kwente rsdiator limekatika nitajaribu kupiga service niirudishe na thermostat mimi nataka nilifikishe level hizi ila naona wengi wanaongezea na intercooler
Ni model ya japan ulaya au south Africa ? Kama ni model south na europe usipoteze pesa yako , ni kichomi haswa! Zile zinataka mtu mwenye nidhamu nazo toka zikiwa mpya , once zikiwa abused huwezi tena kurecover to stock conditions .
For some reasons model ya japan huwa inavumilia kidogo
 
Back
Top Bottom