Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahyo hii ndio inakupa kila unachohitaji?......au una maana gani?Hujakutana na ford Everest 2020 ni balaa
Hahah nasubiri jibu la mdau hapo.Kwahyo hii ndio inakupa kila unachohitaji?......au una maana gani?
Kama huna familia chukua Brevis na Xtrail zichangamshe akili kidogo
Hahah hayo mavitu yenye Cc kubwa kubwa(majini mafuta) ndio nayapendaga sasa.Gari ni matunzo mkuu....hao wanaosema shipa au jini hawajui magari....
Watu wanasukuma v8 za petrol, sembuse brevis...
Ni watu tu wameamua kuzichafua hizi gari...
Me si mpenzi wa magari ya Toyota lakini hili gari linaonewa sana...
Ipi chaguo lako kati ya hizoHapo hakuna gari mbovu
Mwaka Jana December nilifanya service kubwa ili nifanye Safar ndefu ya kwenda Mwanza nakumbuka fundi alinishauri kitu cha msingi Sana kuwa nijitahidi kila spare parts nitakayofunga iwe original ili angalau nitulie Kwa muda mrefu bila kubadilisha .Gari ni matunzo mkuu....hao wanaosema shipa au jini hawajui magari....
Watu wanasukuma v8 za petrol, sembuse brevis...
Ni watu tu wameamua kuzichafua hizi gari...
Me si mpenzi wa magari ya Toyota lakini hili gari linaonewa sana...
Watanzania wengi tuna kipato cha kawaida. Brevis, xtrail si magari yetu maana yanahitaji utunzaji mzuri na ni gharama.Why hao watu waiponde hiyo tu? Shida ni ipi sasa
Kumbe Brevis ni nzuri, ila tatizo letu ni umaskini tuWatanzania wengi tuna kipato cha kawaida. Brevis, xtrail si magari yetu maana yanahitaji utunzaji mzuri na ni gharama.
Nunua rav 4 old model, gx 100, 110 hayo hata ukikosea ukaweka oil chafu hakuna tatzo litaenda tu. Esp rav 4 old Halina masensor mengi. Binafsi silipendi maana lipo kama upo kwenye sufuria, sio comfortable kabisa ila nakushauri nunua hilo hata mjukuu utamrithisha.
Mm ningenunua xtrail au brevis nipambane maana nataka nafasi na utulivu ndani ya gari. Gharama nitapambana na gari ni mkono wangu tu.
Bonge ya gari. Ila huwa nawatania tu wanayotumia wakasirike. Ila ukweli ni kwamba ni gari zuri sana. Ina nafasi, luxury, comfortable na limetulia.Kumbe Brevis ni nzuri, ila tatizo letu ni umaskini tu
ni waoga wa kununua mafutaWhy hao watu waiponde hiyo tu? Shida ni ipi sasa
Tatizo ni umaskini ndugu yangu...ila katika Toyota ni gari ya kibabeKumbe Brevis ni nzuri, ila tatizo letu ni umaskini tu
Sawa sawa..Bonge ya gari. Ila huwa nawatania tu wanayotumia wakasirike. Ila ukweli ni kwamba ni gari zuri sana. Ina nafasi, luxury, comfortable na limetulia.
Wanasema rough road inatembea kwa 1l/4km ina ukweli!!?Tatizo ni umaskini ndugu yangu...ila katika Toyota ni gari ya kibabe
Duu. Si kweli. Sema si gari ya rough road kivile. Kama mda mwingi upo rough dont opt, inavuta nyuma halafu nzito.Wanasema rough road inatembea kwa 1l/4km ina ukweli!!?
Hakuna pasua kichwa kama uko na uchumi wa kati,Kati ya:-
Brevis
Verossa
Gx 110
Xtrail
Kwenye Mafuta, Vipuli na matengenezo. Kwasisi tunaohitaji kununua kwa mtu, (mkononi)
Verosa muonekano wake hauko poaBrevis na Xtrial ondoa kabisa hayo magar n miyeyusho.(ingia mitandaon utakuta brevis namba D safi inauzwa mpaka milion 4, hujiuliz kwa nn)
kama una pesa ya mafuta chukua Gx 110
-verosa siipendi by nature-
Pale toyota walitulia,,Brevis mnaiponda Basi tu,
Wengine hata kuyamiliki hawajawahi lakini ndo mabingwa wakusema vibaya.
Mbali na matumizi makubwa ya mafuta , brevis ni gari tamu Sana.