Gari ipi itanisaidia kubana matumizi

Nailyne

JF-Expert Member
Dec 11, 2010
350
111
wenye uzoefu na magari nisaidieni, nahitaji kununua gari

my concern;
1. iwe na consumption ya mafuta kiasi...
2. mahali ninapoishi na ofisini ni km 20 kwenda 20 kurudi kila siku
3.most wkends nina misele ya mkuranga na mlandizi (nina vijibustani huko lol)
4. nafikiria kununua cami au swift je zitamudu hayo masafa? na je hazisumbui?
5. nilikuwa na gari yenye cc 2200 ila hiyo hela ninayopoteza kwenye mafuta naona ni bora niingize kwenye vijiproject vyangu huko mkuranga,nahitaji gari itakoyonimuvuzisha from point A to B full stop.
6. na-prefer gari isiyozidi cc 1300.

Ushauri tafadhali.
 
kumbe jibu unaalo kuwa gari nyenye CC ndogo ndo haitumii mafuta mengi? anyway! Gari yoyote ya CC kuanzia mia 900-1300 ni bora zaidi. mkuranga si mbali kwa gari yeyote kufika kwani ni mkeka mwanzo mwisho.

Mimi natumia Hyundai i10 kama za Voda zile mafuta ya Elfu kumi unaenda TEGETA mwisho na kurudi Tokea SEGEREA, mkuranga inakanyaga sana tu, waweza nunua hizo pale Hyundai, Nyerere Road, ziko fiti.

wenye uzoefu na magari nisaidieni, nahitaji kununua gari

my concern;
1. iwe na consumption ya mafuta kiasi...
2. mahali ninapoishi na ofisini ni km 20 kwenda 20 kurudi kila siku
3.most wkends nina misele ya mkuranga na mlandizi (nina vijibustani huko lol)
4. nafikiria kununua cami au swift je zitamudu hayo masafa? na je hazisumbui?
5. nilikuwa na gari yenye cc 2200 ila hiyo hela ninayopoteza kwenye mafuta naona ni bora niingize kwenye vijiproject vyangu huko mkuranga,nahitaji gari itakoyonimuvuzisha from point A to B full stop.
6. na-prefer gari isiyozidi cc 1300.

Ushauri tafadhali.
 
wenye uzoefu na magari nisaidieni, nahitaji kununua gari

my concern;
1. iwe na consumption ya mafuta kiasi...
2. mahali ninapoishi na ofisini ni km 20 kwenda 20 kurudi kila siku
3.most wkends nina misele ya mkuranga na mlandizi (nina vijibustani huko lol)
4. nafikiria kununua cami au swift je zitamudu hayo masafa? na je hazisumbui?
5. nilikuwa na gari yenye cc 2200 ila hiyo hela ninayopoteza kwenye mafuta naona ni bora niingize kwenye vijiproject vyangu huko mkuranga,nahitaji gari itakoyonimuvuzisha from point A to B full stop.
6. na-prefer gari isiyozidi cc 1300.

Ushauri tafadhali.

Cami naona kama ni nzuri iko juu hata kwa shep inapendeza, vtz imekaa kidada sana hata Mr ataogopa kutoka nayo
 
wenye uzoefu na magari nisaidieni, nahitaji kununua gari

my concern;
1. iwe na consumption ya mafuta kiasi...
2. mahali ninapoishi na ofisini ni km 20 kwenda 20 kurudi kila siku
3.most wkends nina misele ya mkuranga na mlandizi (nina vijibustani huko lol)
4. nafikiria kununua cami au swift je zitamudu hayo masafa? na je hazisumbui?
5. nilikuwa na gari yenye cc 2200 ila hiyo hela ninayopoteza kwenye mafuta naona ni bora niingize kwenye vijiproject vyangu huko mkuranga,nahitaji gari itakoyonimuvuzisha from point A to B full stop.
6. na-prefer gari isiyozidi cc 1300.

Ushauri tafadhali.


Nunua RAV 4
 
wenye uzoefu na magari nisaidieni, nahitaji kununua gari

my concern;
1. iwe na consumption ya mafuta kiasi...
2. mahali ninapoishi na ofisini ni km 20 kwenda 20 kurudi kila siku
3.most wkends nina misele ya mkuranga na mlandizi (nina vijibustani huko lol)
4. nafikiria kununua cami au swift je zitamudu hayo masafa? na je hazisumbui?
5. nilikuwa na gari yenye cc 2200 ila hiyo hela ninayopoteza kwenye mafuta naona ni bora niingize kwenye vijiproject vyangu huko mkuranga,nahitaji gari itakoyonimuvuzisha from point A to B full stop.
6. na-prefer gari isiyozidi cc 1300.

Ushauri tafadhali.
kama unaweza ku-afford mafuta ya mawazo - why to buy a car? get one stroke ki-Bajaji -- the point is to move from point A to B: as i do.
 
hii nimeikubali

Kweli kaka/dada if you cannot afford to maintain a car why not buy a bicycle. Hivi unajua Waziri kama Vince Cable (waziri wa biashara na Viwanda UK) anaendesha baiskeli kwenda ofisini kwake. Meya wa London Boris Johnson naye pia anaendesha baiskeli kwenda ofisini kwake. Na ukiwaona wana afya nzuri sana. Sisi tuna masukari, mablood pressure, vitambi kwasababu hatuna exercise yeyote. Gari yeyote utakayonunua itakuwa ina manufaa na hasara zake. Unaweza kununua Hyundai i10 but ukawa usalama wako uko hatarini, barabara nyingi huwezi kupita, safari ndefu hazifiki zinachemsha n.k. Vile vile unaweza kununua V8 ukawa unatumia mafuta mengi bila ya sababu (mfano kuendesha katikati ya mji kama Dar), parking tabu nk.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom