Rebel volcano
JF-Expert Member
- Jun 1, 2012
- 403
- 86
Limefanikiwa shirika la india tata motors kutoa gari aina ya air pod,jambo lililopelekea ufaransa kuekesha oda ya nguvu itakayokabidhiwa mwisho wa 2013,gari hiyo ina uwezo wa kubeba watu watatu,na speed yake ya mwisho kabisa ni 80km kwa saa,na bei yake ni $10000/=
tusubiri kutumia wazalishaji wapo!!!
tusubiri kutumia wazalishaji wapo!!!