Gari inauzwa

amina paggy

Member
Jul 14, 2013
37
1
Mercedes- benz, ml 350, 3.7l, mileage 95000,year 2005, a car is in good condition 100%, full ac, leather sit.please contact me 0657690970.bei ni sh 27mil
 

Attachments

  • IMG-20131120-WA0023.jpg
    IMG-20131120-WA0023.jpg
    99.8 KB · Views: 279
  • 123432.jpg
    123432.jpg
    100.1 KB · Views: 236
  • 12322.jpg
    12322.jpg
    103.8 KB · Views: 225
  • 12342.jpg
    12342.jpg
    101.3 KB · Views: 200
  • IMG-20131120-WA0022.jpg
    IMG-20131120-WA0022.jpg
    81.6 KB · Views: 232
Mercedes- benz, ml 350, 3.7l, mileage 95000,year 2005, a car is in good condition 100%, full ac, leather sit.please contact me 0657690970.bei ni sh 27mil
Dada yangu Amina,
Nlishapata kukupa ushauri huko nyuma juu ya hili gari. Kinachotokea ni.kua kila baada ya wiki kadhaa utakua unakuja na same advert, means gari haliuziki.

Cha kufanya ni kua watu wako sensitive sana na bei. Kama ni lazima uliuze basi kila advert Jaribu kuja na bei cheaper zaidi. Ukisema unakwepa hasara labda litakudodea dada yangu.

Hizo gari kwa US$ 5,000.00 au $6,000.00 (roughly Tzs 10mil) unapata CIF Dar es Salaam inabaki kodi juu yako. Jaribu kuweka kivutio why mtu asi -import but aje kwako, and that is cheaper price.

Meanwhile tumia pia web nyingine kama advertise Dar, Zoom, etc
 
Mil 350?? Kila la heri katika kutafuta wateja

Wewe utakuwa na div 5 tu sio ajabu. Ml.350 ni model ya gari na sio bei hizi anga nyingine mnavamia tu vijana uwe makini


Soma tangazo vizuri!


Acha unanga wewe na kukurupuka, soma ukaelewa kwanza kabla ya kuweka comment kwenye post. Hiyo ML350 ni model namba ya gari ila actual price ya gari ni 27mil.


Kaka ML350 ni model sio bei

Ameshaelewa wakuu. Mpotezeeni sasa.
Next time atajifunza kuacha kukurupuka na itamsaidia kufaulu badala ya kufeli.
 
Dada yangu Amina,
Nlishapata kukupa ushauri huko nyuma juu ya hili gari. Kinachotokea ni.kua kila baada ya wiki kadhaa utakua unakuja na same advert, means gari haliuziki.

Cha kufanya ni kua watu wako sensitive sana na bei. Kama ni lazima uliuze basi kila advert Jaribu kuja na bei cheaper zaidi. Ukisema unakwepa hasara labda litakudodea dada yangu.

Hizo gari kwa US$ 5,000.00 au $6,000.00 (roughly Tzs 10mil) unapata CIF Dar es Salaam inabaki kodi juu yako. Jaribu kuweka kivutio why mtu asi -import but aje kwako, and that is cheaper price.

Meanwhile tumia pia web nyingine kama advertise Dar, Zoom, etc

Hizi seat za ngozi licha ya kupendeza na kutoruhusu uchafu na vumbi kupenda ndani ninachochukia ni pale zinapoanza kuchoka basi huharibu sura, ni full kukatika utadhani zimechanwa na nyembe za makali kuwili, utashawishika kutoonyesha hiyo ngozi bali kuifunika kwa vitambaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom