Gari Inauzwa Toyota Mark II Gx 100 Tzs. 2.5m

Oct 6, 2021
11
6
Assalaam Wanabodi,
Nauza gari yangu aina ya Toyota Mark II Gx 100. Gari hii iko katika hali nzuri. Haijaguswa Engine wala Gearbox kwa matengenezo yoyote.

Changamoto kidogo iko kwenye bodi, sehemu ndogo sana ya juu imelika kutokana na chumvi ya bahari hapa Dar es Salaam. Na hii ni kutokana na kutokuwa na mizunguko mingi hapa mjini (muda mwingi imepark).

Wale wenye kupenda safari ndefu hii itawafaa zaidi kwani ina nguvu na speed ni kubwa. Muhimu kuwa na na tahadhari tu barabarani.

Haina dalali, namba zangu ni 0769746211

20211006_165115.jpg


20211006_165059.jpg


20211006_165146.jpg


20211007_134922.jpg


20211007_134906.jpg


20211007_134935.jpg


20211007_134847.jpg
 
Assalaam Wanabodi,
Nauza gari yangu aina ya Toyota Mark II Gx 100. Gari hii iko katika hali nzuri. Haijaguswa Engine wala Gearbox kwa matengenezo yoyote.

Changamoto kidogo iko kwenye bodi, sehemu ndogo sana ya juu imelika kutokana na chumvi ya bahari hapa Dar es Salaam. Na hii ni kutokana na kutokuwa na mizunguko mingi hapa mjini (muda mwingi imepark).

Wale wenye kupenda safari ndefu hii itawafaa zaidi kwani ina nguvu na speed ni kubwa. Muhimu kuwa na na tahadhari tu barabarani.

Haina dalali, namba zangu ni 0769746211
 
Assalaam Wanabodi,
Nauza gari yangu aina ya Toyota Mark II Gx 100. Gari hii iko katika hali nzuri. Haijaguswa Engine wala Gearbox kwa matengenezo yoyote.

Changamoto kidogo iko kwenye bodi, sehemu ndogo sana ya juu imelika kutokana na chumvi ya bahari hapa Dar es Salaam. Na hii ni kutokana na kutokuwa na mizunguko mingi hapa mjini (muda mwingi imepark).

Wale wenye kupenda safari ndefu hii itawafaa zaidi kwani ina nguvu na speed ni kubwa. Muhimu kuwa na na tahadhari tu barabarani.

Haina dalali, namba zangu ni 0769746211

20211007_134922.jpg


20211007_134935.jpg


20211006_165059.jpg


20211006_165146.jpg


20211006_165133.jpg


20211007_134847.jpg
 
dadeki nasikia huko wanasiasa wanasema mkitaka kuuziana hizi ndinga, basi shart kupelekana uko maofis yao ya matozo il kuproof umiliki halali wa iyo chombo na kuimilikisha kwa mtu,,hiz process zakipuuzi ndzo znafanya watu tuchukie kununua vitu mkonon
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom