Wakuu nahitaji gari ndogo(saloon) ya kununua iwe ni GX100 Chaser au Mark II.
Bei isizidi 6.5m na iwe ktk hali nzuri na pia lisiwe la rangi nyeupe(white).
Kama kuna mtu analo aniPM..
Wakuu nahitaji gari ndogo(saloon) ya kununua iwe ni GX100 Chaser au Mark II.
Bei isizidi 6.5m na iwe ktk hali nzuri na pia lisiwe la rangi nyeupe(white).
Kama kuna mtu analo aniPM..