babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 12,895
- 15,638
wakuu nahitaji kausafiri chapchap hapo dar bajeti isizidi 4mil,mwenye biashara nidondoshee pm plz.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakuu nahitaji kausafiri chapchap hapo dar bajeti isizidi 4mil,mwenye biashara nidondoshee pm plz.
ok we ulikua unadhani ngapi itatosha usafiri cheapMkuu unataka gari au bodi ya gari? unataka kununua usafiri au matatizo yaliyomshinda mwingine?......4mil? una pesa ya kutosha ya matengenezo ya kila dakika baada ya hapo? au unataka pikipiki mpya?
ok we ulikua unadhani ngapi itatosha usafiri cheap
ok we ulikua unadhani ngapi itatosha usafiri cheap
ok ngoja nipigepige mfuko kidogo.Mkuu kuanzia 6.5mil unapata kitu used from Japan, the cheapest, lakini ni more realiable. Kama ni gari ya kwanza ni vema usichukue used in Tz, huwezi jua historia ya gari, haya ya Japan yanafanyiwa Inspection kabla ya kusafirishwa. Ya Dubai kidogo ni risk, unaweza nunua matatizo ingawa ni cheap.
Jitahidi mkuu.
zikipatikana kesho itakuwa bomba mkuu,fanya kama itawezekanaNimekupata picha keshokutwa
how long inachukua kufika bongo,mwenyewe ana haraka mkuu nimemshauri hivyo anasema atasumbuka bandarini.4M unanunua matatizo ndugu agizia Japan Suzuki Kei mpaka Bongo Year 2002 dola 1800 ushuru 1M jumla 4M
wakuu nahitaji kausafiri chapchap hapo dar bajeti isizidi 4mil,mwenye biashara nidondoshee pm plz.
nimeona mkuu lakini maelezo yake yanatisha kidogoNimeku-pm.
Ni mark II GR.
nimeona mkuu lakini maelezo yake yanatisha kidogo