farujoni
Senior Member
- Dec 19, 2016
- 189
- 246
Namiliki gari aina ya toyota vitz wakati natoka nyunbani naenda kazini nkapiata pale mataa ya kamata kwa mbele pale ambapo wanatengeneza mwendo kasi.Maji ni mengi umo ila wakati napita gari yangu aikuzima ila cha kushangaza maji yalikuwa yanaingia kupitia kwenye escalator na kwenye kukanyagia brake naomba kujua ninkawaida au gari yangu ni mbovu imetoboka ila uku kwa passenger sit maji ayajaingia kabisa msaada jamani...