Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,582
- Thread starter
- #21
Aaah sasa watakuwa wanamsingizia mzee wa watu daaaah!
Huenda zikawa ni propaganda za Wamagharibi tu hizo...
Huenda zikawa ni propaganda za Wamagharibi tu hizo...
Duh! Hiyo hapo juu ni kali!Kim was believed to have been very fastidious about how his rice was prepared. According to his first wife's nephew, the Dear Leader made female staff inspect each grain individually to ensure they were the requisite length, weight and colour. He also insisted it was cooked over a fire made with wood taken from trees that only grow on a particular Chinese mountain
Walioandika wenyewe ni wamagharibi, hata kama kuna ukweli lazima waongeze chumvi na magadi!!Aaah sasa watakuwa wanamsingizia mzee wa watu daaaah!
Huenda zikawa ni propaganda za Wamagharibi tu hizo...
Hahahaha! Inaonekana hiyo nchi Kim amewapiga sana wananchi wake mchanga wa macho...Hawa wakuda wana mambo ya ajabu sana..kuna mwandishi mmoja aliendaga kwene show yao ya innovation kwene late 1990s au early 2000s nafikiri, wakawa wanaonesha eti computer ya 'Kikorea' na OS yake, sasa yule mzungu akataka kujua inafanyaje kazi ile kui-restart ndo ikareveal kuwa it is actually a PC. he he he..
Kim was believed to have been very fastidious about how his rice was prepared. According to his first wife's nephew, the Dear Leader made female staff inspect each grain individually to ensure they were the requisite length, weight and colour. He also insisted it was cooked over a fire made with wood taken from trees that only grow on a particular Chinese mountain
Pia nimesikia CNN kuwa wale wote waliokuwa wakiangua vilio kwenye mazishi hawakuwa wakilia machozi ya kweli. Yote hiyo ilikuwa ni propaganda tu kuonyesha kuwa "Dear Leader" alikuwa anakubalika.
Sasa sijui kama ni kweli au la but I can't put anything past those people.
20. His biography also says that he does not defecate or urinate
Anazo 2o ridiculous things, nimeipenda hiyo hapo juu namba 20...Yani wananchi walidanganywa mzee mzima haendi haja lol
20 Ridiculous Things You Never Knew About Kim Jong-Il
Hahahahaha,
Who does this sound like?
18. Kim Jong-Il's biography claims his birth was "foretold by a swallow and heralded by a glorious double rainbow and the appearance of a new star"
ha ha ha ha bizarre stuffs! lol
Watu wanaojifanya wanachukia Taifa fulani hivi na watu wake in general huwa nawaona mapunguani kiaina yake. Unamkuta mtu anachukia Marekani ile mbaya, hadi individuals. Ukimuuliza atakwambia ni foreign policy yao au mambo yao ya kihistoria. Sasa maamuzi yanayochukuliwa na watendaji Kitaifa wewe unapelekea chuki zako kuwa personal, wapi na wapi!!
Mfano kuna rafiki yangu mmoja M-polish, yeye anachuki wajerumani hata kusalimiana nao kwa kumshika mtu mkono hawezi! Ukimuuliza ni kwanini, anasema kutokana na jinsi alivyofundishwa katika historia. Cha ajabu favorite car yake ni BMW, halafu mjomba wake anaendesha Audi. Na kwa vile anamatatizo ya meno, huwa namwambia, the likelihood kwamba hospitali anayoenda kutibiwa precision instrument zake zote zimeshikwashikwa na Wajerumani ni kubwa...anabakia kununa tu!!
Vivyo hivyo, kuna Mchina rafiki yangu anachukia Wajapani kutokana na mambo ya kihistoria, lakini tv yake na entertainment system zote ni za Wajapani.
Mtu unamkuta anatumia GPS na vifaa vingine kibao ambavyo viko controlled na Wamarekani, lakini chuki inapelekwa hadi kwa watu binafsi. Ni sawasawa na wenzetu wale wanaochukia Wachaga, lakini wakikata kona kwenda kununua vocha inabidi tu wasalimiane na Mangi pale kiosk! Dunia duara, ni kama utando wa buibui. Wee jenga uhasama wako, lakini siku ya siku utanasa tu!!
Hii Kali , Matokeo ya zidumu fikra za Mwenyekiti hayo20. His biography also says that he does not defecate or urinate
Anazo 2o ridiculous things, nimeipenda hiyo hapo juu namba 20...Yani wananchi walidanganywa mzee mzima haendi haja lol
20 Ridiculous Things You Never Knew About Kim Jong-Il
Inaonekana alikua anachukia marekani ila hakua anachukia kila kitu cha kimarekani. Plus, hicho kitendo kimempa publicity zaidi kwahiyo labda mwenyewe aliagiza iwe hivyo.
Mimi mwenyewe leo asubuhi nilipokuwa yahoo.com nikaona zile picha nikajiuliza hili si old school LTC kweli?
Ila nafikiri walitumia hiyo hearse makusudi kuonesha mtazamo wao mpya.