Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
napenda gari za nissani,benzi,audi piia rav 4 new model maana huwa naona wana dizaini vizuri gari zao..Mkuu, gari ni kama nguo, kila mtu anamapenzi na aina yake. Lazima wewe ujijuee unapenda nini ndio uone kwa bajeti uliyonayo utaweza?
Kwahiyo nakushauri, tutajie kwanza aina za magari unazopendezwa Nazo.. Najua umesema hujui magari ila naamini unajua aina flani like, carina, brevis, rav 4 etc etc...
Kwamfano Mimi, Napenda zaidi gari za chini "saloon", napenda pia iwe na turbocharger.. So from hapo nawaza tena iwe BMW, Benz, Toyota, VW, R.R, ford, Nissan etc etc...
So hebu tupe mapenzi yako kwanza yako wapi!!!
PEUGEOTnataka kujua gari gani zuri kwakutembelea lenye thamani isio zidi milioni 12 maana mi magari sijui vizuri. ambayo nawea ipata show room.
Rav 4 new model bei yake imechangamka kidogo.napenda gari za nissani,benzi,audi piia rav 4 new model maana huwa naona wana dizaini vizuri gari zao..
Mkuu kwa hali yako ya M12 chukua Carina,Probox Au IST.nataka kujua gari gani zuri kwakutembelea lenye thamani isio zidi milioni 12 maana mi magari sijui vizuri. ambayo nawea ipata show room.
Hio ni model latest!kweli muranno iko poa sana nimeipenda inawza ikawa bei gani. kwa sasa ivi kama ukienda show room