Mawio
Member
- Nov 25, 2008
- 54
- 23
Wakuu, salaam!!!..
Ninahitaji used Landcruiser Hardtop, Pickup, Station wagon au Van, iwe na engine ya 1Hz, (engine tofauti na 1Hz tunaweza angalia uwezekano wa mazungumzo pia), iwe katika hali nzuri.
Mwenye nayo ani-cheki inbox au kwa namba hii +255788246790
Bajeti/Pesa niliyonayo mkononi ni Millioni tano kamili (5,000,000/=) Pesa za Ki-Tanzania.
Kama una bodi pekee pia tunaweza angalia uwezekano wa mazungumzo.
Niwatakie kheri ya msimu wa sikuu za mwisho wa mwaka!!!..
Shukrani.
Ninahitaji used Landcruiser Hardtop, Pickup, Station wagon au Van, iwe na engine ya 1Hz, (engine tofauti na 1Hz tunaweza angalia uwezekano wa mazungumzo pia), iwe katika hali nzuri.
Mwenye nayo ani-cheki inbox au kwa namba hii +255788246790
Bajeti/Pesa niliyonayo mkononi ni Millioni tano kamili (5,000,000/=) Pesa za Ki-Tanzania.
Kama una bodi pekee pia tunaweza angalia uwezekano wa mazungumzo.
Niwatakie kheri ya msimu wa sikuu za mwisho wa mwaka!!!..
Shukrani.