Gardner&house boy

Inkoskaz

JF-Expert Member
Nov 6, 2010
6,372
2,374
Natafuta kazi Kama nilizozitaja hapo juu,ni mvulana mfupi kiasi umri miaka 21 elimu form 4,najua kuongea kingereza kwa ufasaha,muaminifu na mtiifu na nipo tayar kufanya kaz mahali popote.Kama utakua unahitaj tuwasiliane kupitia no 0653957095 au email ally.saidy@yahoo.com,asanten sana!
 
Natafuta kazi Kama nilizozitaja hapo juu,ni mvulana mfupi kiasi umri miaka 21 elimu form 4,najua kuongea kingereza kwa ufasaha,muaminifu na mtiifu na nipo tayar kufanya kaz mahali popote.Kama utakua unahitaj tuwasiliane kupitia no 0653957095 au email ally.saidy@yahoo.com,asanten sana!

unajua kupika mapishi mangapi ya kitimoto?
 
Kweli nimeamin sio kwenu tu hata kwenye mtandao wapo,asanten washkaji kwa mchango wenu kaz ni kaz mwanaume kazini nyie mliokalia viti ofisin fanyen kaz tena kwa bidii na cc wapish,magardner,wafagia barabara,walinzi na mahouse boy tuacheni,narudia tena asanten kwa mchango wenu!
 
Kweli nimeamin sio kwenu tu hata kwenye mtandao wapo,asanten washkaji kwa mchango wenu kaz ni kaz mwanaume kazini nyie mliokalia viti ofisin fanyen kaz tena kwa bidii na cc wapish,magardner,wafagia barabara,walinzi na mahouse boy tuacheni,narudia tena asanten kwa mchango wenu!

wenye dharau na nyodo hata kwe2 wapo. Achana nae bro siajabu ye mwenyewe mfagia choo.
 
Kweli nimeamin sio kwenu tu hata kwenye mtandao wapo,asanten washkaji kwa mchango wenu kaz ni kaz mwanaume kazini nyie mliokalia viti ofisin fanyen kaz tena kwa bidii na cc wapish,magardner,wafagia barabara,walinzi na mahouse boy tuacheni,narudia tena asanten kwa mchango wenu!


sawa mkuu ila ni gardener sio gardner kama ulivyoandika hapo juu
 
wenye dharau na nyodo hata kwe2 wapo. Achana nae bro siajabu ye mwenyewe mfagia choo.

Thanx Anita kwa mchango wako Wa mawazo! Ila mm watanzania wenzangu nitaendelea kuwashangaa sasa mtu anaficha ukweli na kujiproud haifai jaman inabid
Kuna kipind tuwe transparent zaid ili tuweze kusaidiwa,Anita Asante xana dada!
 
mbona unamshusha cheo chake? Mikela hasafishi vyoo, yeye ni mtaalam wa kuzibua vyoo, na kwa utaalam wake huo havai gloves afanyapo kazi, na anakula bila kunawa na hadhuriki[/QUOTE.
Mi sina cha kusema ila ndo hivyo jaman dharau kila mtu anayo ila c kwenye mambo Kama haya, japo umeweka utan lakin nashkur kwa mchango wako ndugu!
 
Mkuu INKOSKAZ,nachelea kukupatia kazi hizo, najua nikikuacha nyumbani, NIMEUMIA TAYARI. Avatar yako, inaonesha unaweza kupiga kazi nyingine barabarani au ofisini, lakini nyumbani, lool, nachelea!
 
Mkuu INKOSKAZ,nachelea kukupatia kazi hizo, najua nikikuacha nyumbani, NIMEUMIA TAYARI. Avatar yako, inaonesha unaweza kupiga kazi nyingine barabarani au ofisini, lakini nyumbani, lool, nachelea!
Naheshim mawazo yako ndugu BUBE na upo sahihi kabisa ila Kama hiyo ya barabarani pia unayo unaweza ukanipatia, nashkur kwa fikra zako zinazoambatana na ukweli na Asante sana ndugu!
 
Acha hizo wewe! Naomba jumatatu njoo pale chuo kikuu ulizia meneja wa Canteen za chuo utapata kazi kuna nafasi za wahudumu pale wanalipa vizuri itakusaidia
 
Acha hizo wewe! Naomba jumatatu njoo pale chuo kikuu ulizia meneja wa Canteen za chuo utapata kazi kuna nafasi za wahudumu pale wanalipa vizuri itakusaidia
Chuo kikuu kipi? Havard, Oxford, Dsm, Tumaini, Sokoine, Nairobi au Cha ushirika Moshi?
 
Acha hizo wewe! Naomba jumatatu njoo pale chuo kikuu ulizia meneja wa Canteen za chuo utapata kazi kuna nafasi za wahudumu pale wanalipa vizuri itakusaidia

Nashkuru xana kaka mungu akubariki j3 nitawah mapema xana!
 
Natafuta kazi Kama nilizozitaja hapo juu,ni mvulana mfupi kiasi umri miaka 21 elimu form 4,najua kuongea kingereza kwa ufasaha,muaminifu na mtiifu na nipo tayar kufanya kaz mahali popote.Kama utakua unahitaj tuwasiliane kupitia no 0653957095 au email ally.saidy@yahoo.com,asanten sana!

mimi nahitaji kweli houseboy ila mmh!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom