Wanajamvi ninashauri Mama Graca Machel aingizwe kwenye kitabu cha watu waliovunja rekodi cha Guinness kwa sababu ni mwanamke aliyeolewa na marais wawili na ni mjane wa marais duniani. Nadhani hii ni moja ya rekodi kubwa duniani. Naungana na wapenda amani na uhuru kuomboleza kifo cha Mzee Mandela.