mistari4G
JF-Expert Member
- Feb 10, 2019
- 553
- 649
Nilienda bank nikijua nimeibiwaSina hamu na SIM BANKING mwanzaoni nilikua nahamisha 1000, 500 kuja Tigopesa aisee sikujua makato kumbe ilikua inalambwa 1500, unahamisha 500 ila makato 1500/= statement nilitumiwa kwenye email nilibaki mdomo wazi na ndo ikawa siku ya mwisho kutumia SIM BANKING.
Jamaa alicheck akasema ndugu una miamala ya kufa mtu
Sigusi tena