Broken soul
JF-Expert Member
- Oct 24, 2013
- 459
- 131
Hilo ndo dhumuni kubwa mengine mbwembwe tu mdau.
Sasa kwann uoe wkt unaweza kupata hadi wa buku 2 pale buguruni?
Hilo ndo dhumuni kubwa mengine mbwembwe tu mdau.
kwani madhumuni ya kuoa ni kumdinya tu!!!! mxeyixxuuuryixx wewe!!!
Hilo ndo dhumuni kubwa mengine mbwembwe tu mdau.
Mkuu hili ndio dhumuni kuu la ndoa, ndio maana linaitwa tendo la ndoa, na kama ikitokea mmefunga ndoa mmoja hawezi kushiriki hili tendo manake ndoa ivunjwe.
Dah nimeipenda hii,salamu kwanza halfu back to the topic
dhumuni kubwa kwa mujibu wa nani?
Ijumaa Kareem..........
unachokitafuta kwangu utakipata....we endelea
Zipunguze makali wataziacha
Mbona huyu anapewa kirahisi hivyo Heaven on Earth mamii!??:A S 12:
dhumuni kubwa kwa mujibu wa nani?
Acha ubishi we mtoto. Gawa naniliu hiyo upate mnaniliu.
heheeheh!!! mie ningeongeza ila kuna mods siku hizi wanannifatilia sana, hawachelewi kudelete posts zangu. ngoja tu ninyamaze ila wanakeraaaa!!
Khaaa....!!!!