Wadau, ninagari yangu nataka kurepair na kurudishia rangi.Naomba msaada wa kujua gereji nzuri kwa kurudishia rangi ya gari kwa dar es salaam.
Mkuu pia nenda kwenye garage za wachina wanaitoa kama ilivyokuwa kwa manufacturer!
mimi mwenyewe nataka kuipeleka gari yangu huko.
unaenda tra.Naomba msaada kwa Arusha ni garage gani wanabadili rangi za magari vizuri. .. pia napenda kuuliza kama gari kwenye kadi imeoneshwa silver halafu nikabadili rangi nikaweka blue kuna tatizo?
unaenda tra watakubadilishia kwenye kadi kwa gharama ya 10,000/= kama haijabadilika.Naomba msaada kwa Arusha ni garage gani wanabadili rangi za magari vizuri. .. pia napenda kuuliza kama gari kwenye kadi imeoneshwa silver halafu nikabadili rangi nikaweka blue kuna tatizo?
Kwa tayota IST (nyeusi)Njoo TEMESA MT.DEPOT Keko Darajani -Dar ea salaam hutojutia.
Ulizia kijana Hashimu yupo Tabata dampo hutajutia no.0713 474336.Wadau, ninagari yangu nataka kurepair na kurudishia rangi.Naomba msaada wa kujua gereji nzuri kwa kurudishia rangi ya gari kwa dar es salaam.
Sorry nilipewa burn hivyo sikuwa hewani.Kwa tayota IST (nyeusi)
- inaghalimu TZS ngapi?
- Inachukua siku ngapi?
Asante sana mkuuunaenda tra watakubadilishia kwenye kadi kwa gharama ya 10,000/= kama haijabadilika.
Sorry nilipewa burn hivyo sikuwa hewani.
Toyota IST ukiileta utaipata utaipata baada ya siku moja. Gharama zitatofautiana kulingana na rangi utakayoitaka.