natanguliza shukrani.
wanajamii nawaombeni msaada kujua wapi naweza pata huduma ya maintenance and repair gari
dogo gx100,wife kaparamia ukuta mlango wa dereva umebonyea na umejam haufunguki kwa nje.
na sehemu kidogo ya bonet imebonyea kwa kuangukiwa na tofali.
Itakuwa vema sana katika maelekezo yenu mkiainisha na makadirio ya gharama za matengenezo.
nawasilisha.
wanajamii nawaombeni msaada kujua wapi naweza pata huduma ya maintenance and repair gari
dogo gx100,wife kaparamia ukuta mlango wa dereva umebonyea na umejam haufunguki kwa nje.
na sehemu kidogo ya bonet imebonyea kwa kuangukiwa na tofali.
Itakuwa vema sana katika maelekezo yenu mkiainisha na makadirio ya gharama za matengenezo.
nawasilisha.