kizo83
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 354
- 332
Kuna interview ilofanyika tarehe 26 mwezi wa 4 pale DUCE.Hawa Jamaa wakaahidi kutoa majibu hapa karibuni Ila hawajafanya hivo mpaka Leo.
Ni vema wangetoa matokeo mapema maana kuna watu tumetoka mikoa ya mbali na hatujarudi bado tukitegemea tumalizane nao kisha ndo turudi Ila tuokoe gharama.
Interview nyingi nlizowahi kuhudhuria hazikuwahi kuwa hivi,interval ya written na oral haizidi wiki 2 Ila nyie mpaka mnatupa Mashaka tuhisi kuwa mmeendesha interview kutimiza tu formality.
Kama wahusika mnaliona lifanyieni kazi.Ahsanteni.
Ni vema wangetoa matokeo mapema maana kuna watu tumetoka mikoa ya mbali na hatujarudi bado tukitegemea tumalizane nao kisha ndo turudi Ila tuokoe gharama.
Interview nyingi nlizowahi kuhudhuria hazikuwahi kuwa hivi,interval ya written na oral haizidi wiki 2 Ila nyie mpaka mnatupa Mashaka tuhisi kuwa mmeendesha interview kutimiza tu formality.
Kama wahusika mnaliona lifanyieni kazi.Ahsanteni.