Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PES v FIFA? Unashindanisha PES na FIFA? Mbaya zaidi unakuja kusema PES ni wazuri kuliko FIFA, bahati yako umesema kuwa ni mtazamo wako.
Uefa ipo kwenye fifa 19, hakuna kutoka njeMe nitabaki fan wa FIFA siku zote hata kama hakuna UEFA
Pes wenyewe wanazingua karibu Team zote kubwa hazina majina yao halisi. hawa jamaa pes hawana leseni kwa team nyingi
Fifa ndo mpango mzima FIFA 18 inaendelea Journey Hakuna kutoka nje mzee
video card ?Sorry naweza cheza fifa au pes 2018??
Ram 2Gb
HDD 500GB
Processor intel duo??
Sijui ata kuichekvideo card ?
Funga Run kutoka kwenye start menu then type dxdiag hapo utapata specs zote., nenda kwenye display tutajie jina na size ya video card yakoSijui ata kuichek
Bro check hapo chini nimekuwekea pichaFunga Run kutoka kwenye start menu then type dxdiag hapo utapata specs zote., nenda kwenye display tutajie jina na size ya video card yako
dah kwa kweli mkuu mwa mashine hiyo hutoweza cheza fifa 18 wala pes 18 labda tuu utaweza download pes ya zamani kama pes ya 2012 then utaipatchAngalia hapo kiongozView attachment 895404View attachment 895405
Ohooo uko ku patch ndo sikujuidah kwa kweli mkuu mwa mashine hiyo hutoweza cheza fifa 18 wala pes 18 labda tuu utaweza download pes ya zamani kama pes ya 2012 then utaipatch
ni simple download game ya zaman then utadownload patch za kisasaOhooo uko ku patch ndo sikujui
Naomba nisaidie link bossni simple download game ya zaman then utadownload patch za kisasa
Hiyo nayo siwezi cheza kwa PC yangu?dah kwa kweli mkuu mwa mashine hiyo hutoweza cheza fifa 18 wala pes 18 labda tuu utaweza download pes ya zamani kama pes ya 2012 then utaipatch
Itacheza bila shaka but hakikisha driver za graphics zipo installedHyo nayo siwez cheza kwa pc yangu??View attachment 895679