Gamers only: FIFA vs PES ipi unaikubali?

FIFA ndo kila kitu, kinachokera kwenye PES
1. Kufunga magoli ni rahisi mno
2. Replay kila event yaani hata mpira wa kurusha wao wana replay
3. Bado kwa wapenzi wa chenga ,naona control za kupiga chenga kwenye PES hazieleweki
4. Through balls lazima zifike kwa mlengwa bila ku-interceptiwa na adui ,mi binafsi hiki kitu sikipendi
5. Bado FIFA ina vitu vingi mno kuliko PES

Ila graphics naona kama PES wanaizidi kidogo FIFA
 
FIFA is classic , fifa is good....ila aaah wapi hunitoi kwenye PES....tena kama PES 16 au 17 alafu uipige patch inakuwa tamuu kuliko FIFA.
 
fifa ndo kila kitu, kinachokera kwenye pes
1.kufunga magoli ni rahisi mno
2.replay kila event yaani hata mpira wa kurusha wao wana replay
3. bado kwa wapenzi wa chenga ,naona control za kupiga chenga kwenye PES hazieleweki
4.through balls lazima zifike kwa mlengwa bila ku -interceptiwa na adui ,mi binafsi hiki kitu sikipendi
5.bado fifa ina vitu vingi mno kuliko pes

ila graphics naona kama PES wanaizidi kidogo fifa
well said...ni kweli PES ukiipata at first ikiwa fresh pasipo patches inakuwa na Errors kibao kama kwenye through balls interceptions na hata ufungaji pia....ila bro ukiipiga patches na mkutane na nyote ni wazuri kwenye PES , Bro utaipenda....kuliona goal la mwenzako itakuwa issue...PES pasipo PATCH haijakamilika
 
fifa ndo kila kitu, kinachokera kwenye pes
1.kufunga magoli ni rahisi mno
2.replay kila event yaani hata mpira wa kurusha wao wana replay
3. bado kwa wapenzi wa chenga ,naona control za kupiga chenga kwenye PES hazieleweki
4.through balls lazima zifike kwa mlengwa bila ku -interceptiwa na adui ,mi binafsi hiki kitu sikipendi
5.bado fifa ina vitu vingi mno kuliko pes

ila graphics naona kama PES wanaizidi kidogo fifa
hizi ni pes za zamani mkuu max 2013, pes za sasa hivi hamna through bali ni kama FiFa tu, na mimi naichukulia hii kama weakness.

through ball kwenye mpira kikawaida mara nyingi inazuiwa na interception zile, sasa unakuta Fifa through bali hata mlengwa haimfikii na anaipata anaekukaba, pes kama ya 2013 through ball inatangulizwa mbele then mnaanza kuikimbiza mwenye mbio kashinda, hata mpira halisi upo hivyo. utofauti wa pasi ya kawaida na through ball kwenye fifa ni mdogo sana.
 
hizi ni pes za zamani mkuu max 2013, pes za sasa hivi hamna through bali ni kama FiFa tu, na mimi naichukulia hii kama weakness.

through ball kwenye mpira kikawaida mara nyingi inazuiwa na interception zile, sasa unakuta Fifa through bali hata mlengwa haimfikii na anaipata anaekukaba, pes kama ya 2013 through ball inatangulizwa mbele then mnaanza kuikimbiza mwenye mbio kashinda, hata mpira halisi upo hivyo. utofauti wa pasi ya kawaida na through ball kwenye fifa ni mdogo sana.

Hekoo Mkuu nilikuwa na wewe pamoja tatizo watu washabiki hawafanyi utafiti kwa kucheza zote ila waone weakness za kila game even fifa ina weakness kama graphics na errors chache
 
Sidhani kama ni kweli nimecheza pes 17 ila mabadiliko niliyoona ni graphics tu ila kitu ni kile kile na pes 18 walichobadilisha ni graphics na directions za set pieces na goal kicks yaani wachezaj wa pes wako perfect sana kitu ambacho sio real unapiga cross upo kwenye motion ya hatari ila inamfikia mlengwa yupo kati kati ya msitu
 
Iko poa aisee ..yaan hutojuta kuidownload aisee
Minlikua nazo zote 2011,2013,2015,2016, 2017 ila pc yangu imezngua hdd zmeharbikia zote huko.. pes nzur sana saivi naicheza kwenye simu
c1d2d411f65de33a799e91064c734061.jpg
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom