Kaka cheza na torrent sites mkuu.. Kat.ph extratorrent.cc kickas.to hapo utapata nyingi sana
unataka Game zipi? Mimi nitakupatia bure.
MKUU, MI NIPATIE GAMES ZA VITA NA FLIGHT SIMULATOR, NIPE NAMBA YAKO YA SIMU NIKUTAFUTE.
Mkubwa wewe ni hatari hadi IGI 2Hii Project I.G.I nimemaliza mission zote.
GTA SA ninzuri kwa maana ya stori yake lakini kwasasa graphics zake ovyo sana zimepitwa na wakati sanaView attachment 174994View attachment 174990View attachment 174991
Nimepreview games nyingi ila kama GTA San Andreas sijaona. Story kali kulioko maelezo coz huyo mchizi Carl Johnson anapiga mishe mpaka najihisi kama ndo mimi naishi ndani ya computer. Story yenye coordination nzuri kupita nyingi nilizoona, Full ugansta full maujanja mpaka raha.
Nyingine ni Age of Empire ambapo mtu mzima unapanga vikosi unafanya maendeleo ya kiuchumi then unampa kipigo adui! unaweza ukajihisi wewe ni army commander.
Dirt 3 feel the real racing heat right at your home!!
Sijui kwako ikoje lakini mimi nilidownload torrent kama rar kisha nika extract then nabofya tu icon ya game inanipeleka nichague aina ya race then nachagua gari kisha inaanzaWakuu kuna hili game NEED FOR SPEED MOST WANTED. game linaonekana kali sana lakini kulianza tu ni shida... Naomba anaejua namana ya kulianzisha anielekeze. Maana naishia kwenye neno drive to the jacks spot. Kuna saa nilibahatisha kufika kwenye jack spot nikashidwa ku choose destination kwa ajili ya racing.
ukiwa na nuc laki 6 hadi 8 unatengeneza bonge la mashine, desktop zimepitwa na wakati.
nuc ya i3 unaipata chini ya dola 200 na ya i5 unaipata around dola 300 inakuwa complete kasoro ssd na wifi card na vitu vidogo dogo vyengine.
kama hununi ssd unaeka hdd na utatumia modem bila wifi kwa laki 3 hadi 4 unapata mashine ya i3 ram 4gb(unaongeza hadi 16gb).
hao ni intel ila kuna brand nyengine kama gigabyte na amd wenyewe wana vimini pc ambavyo vipo complete kabisa na ssd.
uzuri wa hivi vi mini pc vina port nyingi kama hdmi na usb port 3.0 hivyo hata tv unatumia huna haja ya monitor
GTA V umesema! Ila GTA IV story mbovu!!GTA SA ninzuri kwa maana ya stori yake lakini kwasasa graphics zake ovyo sana zimepitwa na wakati sana
check na GTA 5
Bos naomba nijuze vizuri juu hii kitu, naweza kuipata wap apa tanzania? Na je kinyume na games naweza kufanyia kaz zngine heavy kama graphics design?
kwa tz sina uhakika wapi utapata na kina mpaka configuration za i5 intel hasswell na ram 16gb ambayo nafkiri unafanya hivyo vitu ila na bei ndio inapanda config zikiwa kubwa
Hizo mashine ziko poa tatizo mkasi wake, hapo unaongelea milioni nne..
afu tatizo laptops huwezi ku-upgrade kitu kama GPU ndo maana napenda desktop ikitoka GPU au processor mpya nabadilisha...
Wakuu kuna hili game NEED FOR SPEED MOST WANTED. game linaonekana kali sana lakini kulianza tu ni shida... Naomba anaejua namana ya kulianzisha anielekeze. Maana naishia kwenye neno drive to the jacks spot. Kuna saa nilibahatisha kufika kwenye jack spot nikashidwa ku choose destination kwa ajili ya racing.
hili ndo game bora zaidi kwangu