Kamishna wa TRA akiamua kujitoa kafara, anaweza kumfungia yeyote na sheria imempa nguvu kubwa sana. Anaweza hata kuzuia akaunti yao ya benki au kuwanyang'anya leseni kabisa na kuwaachia uhamiaji wamalizie ya kwao.
yes nakubaliana na wewe .... hatuwezi kuubeza uwezo na mamlaka aliyopewa commissioner wa TRA