Pori lenye wanyama asilia liko wilaya ya Biharamulo na linaitwa Burigi. Kwa kuwa Mwendazake alikuwa na Mambo ya kujipendela akiita Burigi -Chato.Ni sahihi alivyouliza lakini pia kama lengo ni kukuza na kuongeza vivutio vya utalii ni lazima tubuni vipya, kuboresha vilivyopo na kuvitangaza kama ilivyo kwa Burigi chato.
Sasa sijui kivip hapo JPM alikosea kama comment za wengi zilivyo. Chuki tu
Maajabu kweli kweliGambo mtoto wa tatu wa baba
1. Bashite
2. Saa mbaya
3. Gambo
Leo hii anamsaliti baba kwa kuhoji hifadhi ya baba?
Hakuna rais aliyewapenda watz kwa moyo wote kama Nyerere na MagufuliMagufuli aliiharibu sana hii nchi.
Maisha bila Unafiki hayaendi. Still 2021 unafiki umashamiri na kutamalaki kwa kiasi kikubwa ndani ya viongozi wetu, hakika hatutafika popote kwa style hii.
Obama unayemzungumzia ni yupi aliyeiharibu Libya au?Hii nchi tulipofikia inabidi tumkodi Obama aje awe rais wetu kwa muda,nchi kila mabadiliko ya rais inaanza upya ki fikra, mtazamo na miradi ya maendeleo! machinga wa mwanza mjini walioziba barabara na maduka makubwa ya walipa kodi watatokaje? ngoja tuone
Kuna katuni moja watu SASA wanaenda kurudisha ubongo baada ya Magu kuondoka.Baada ya Magu kutangulia mbele za haki, kuna wabunge kadhaa kama akina Gambo wameamua sasa kurusha madongo bila kupepesa macho.
Nawaza yaan itokee tu mtukufu arudi eti anawaambia sjafa nlikuwa nawaskilizia nione hajajajahaaaaaaaa kila mtu atajikana