Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,322
- 5,542
Hapa nemkumbuka sana bi.Kirembwe
Ile dawa mwendazake aliyowarogea vijana imexpire naona akili zinarudi siku hizi.
Gambo angetamka hayo enzi zile kesi ya uhujumu uchumi ingemhusu kupewa pesa awanunue wapinzani waunge juhudi kwenye mkutano wa jiwe arusha wakaingia mitini