real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
RC Arusha Mrisho Gambo, ametoa Sh23.2 milioni zigawanywe kwa wazazi wa watoto watatu waliokuwa wakitibiwa Marekani ambazo zilikusanywa kama rambirambi.
Mrisho Gambo ''Jambo hili la rambirambi nimelifunga rasmi na mikono yangu ni safi katika jambo hili, hata watu wasiponielewa Mungu anashuhudia'' Mrisho Gambo wakati akigawa shilingi milioni 23 za rambirambi kwa familia za majeruhi wa ajali ya LuckyVincent.
Mrisho Gambo pia alieleza namna alivyosikitishwa na shutuma zilizopikwa dhidi yake wakati wa msiba wa LuckyVincent ;
" Kama kiongozi kijana nilisikitika sana kuona namna watu walivyogeuza suala hili kua la kisiasa ili mradi tu wanichafue,nimetoa mfano wa kua muwazi katika kuweka uwazi wa mapato na matumizi katika michango hii " MrishoGambo
Mrisho Gambo ''Jambo hili la rambirambi nimelifunga rasmi na mikono yangu ni safi katika jambo hili, hata watu wasiponielewa Mungu anashuhudia'' Mrisho Gambo wakati akigawa shilingi milioni 23 za rambirambi kwa familia za majeruhi wa ajali ya LuckyVincent.
Mrisho Gambo pia alieleza namna alivyosikitishwa na shutuma zilizopikwa dhidi yake wakati wa msiba wa LuckyVincent ;
" Kama kiongozi kijana nilisikitika sana kuona namna watu walivyogeuza suala hili kua la kisiasa ili mradi tu wanichafue,nimetoa mfano wa kua muwazi katika kuweka uwazi wa mapato na matumizi katika michango hii " MrishoGambo