Gambia: Rais Yahya Jammeh akataa matokeo yaliyompa ushindi Barrow

Hivi Komredi we ulimwamini kweli jamaa alipokubali kushindwa?

Manake alikubali kirahisi rahisi mno hadi nikapatwa na shaka.

It was too good to be true!
Kiukweli kabisa, komredi, nilimwamini huyu jamaa.

Alivyokuwa analitaja jina la Allah huku akiusemea uislamu wake...(mpaka nikauliza sehemu, hivi huyu Dr. Shein anamsikiliza mwislamu mwenzie??)

Jamaa alifanikiwa kunifanya zoba.
 
Tatizo liko wapi Africa jamani ?!

Mbona imekuwa kasumba ?! Ni vizuri pesa za nchi zisitumike kuhalalisha aibu hizi.

Lakini tatizo kubwa ni katiba zetu.
 
Gambia wasipo kuwa imara wakaachia huu upuuzi ufanyike.. yani marudio ya uchaguzi, ujue huyu dikteta uchwara atatawala ile nchi mpaka afike umri wa Mugabe.

Viongozi wa Africa tabia zao kaa wamezaliwa baba mmoja mama mmoja.
 
Madikteta wenzie watakuwa wamemshawishi!Maana kadiri Upinzani wanavyoshinda vyama Tawala na hasa vile Vikongwe inatengeza precedent kuwa mabadiliko yaja!Sasa upepo huu unawatisha wengi:Si Pk,M7,Mugabe na hata CCM Hapa Nyumbani!
Nahisi kuna madikteta wenzie watakuwa wamemwambia Aache Ujinga,agangamale kiume!
Huu upepo unavuma Gambia,Burundi,Tanzania,Ghana DRC na Zimbabwe!Kama Upepo Ukiendelea Hivi,Madikteta Wengi Watakosa Moral Support!
Ni Bora Wabaki Wengi Wapate Kisingizio cha Kusema Kuwa Bado Wanapendwa!
Kinyume na Hapo,Arab Springs Yaja Kwenye Nchi Zilizo Chini ya Jangwa la Sahara!
 
Upinzani Tanzania acheni kutafuta mchawi. Yaani mlitegemea kabisa kuwa Lowasa atashinda uchaguzi? Msimamisheni tena 2020.
Magonjwa mtambuka mnashabikia nini na Lowassa kaingiaje humu brother ?!. Pro utawala mbashabikia haramu kwa mini siku hizi ??!!.

Africa imerudi nyuma miaka 50 ni kweli. Chaguzi zimekosa maana watawala wamekuwa wakubwa kuliko katiba zetu. AIBU
 
My na UOTE="Saint Ivuga, post: 18810454, member: 11702"]Hii taarifa siiamini[/QUOTE]
Mbona sioni alipokanusha mkuu
 
Back
Top Bottom