Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Aliyewahi kuwa Mrimbwende wa Taifa la Gambia. Fatou Jallow ametoa yuhuma hizo mbele ya Tume ya Ukweli na Maridhiao
Amesema kuwa Jammeh alimlazimisha amkatae mchumba wake ambaye walipanga kuoana
Yahya Jammeh aliikimbia nchi hiyo, Januari 2017 baada ya kushindwa katika Uchaguzi Mkuu na kukataa kutoka madarakani
Mataifa ya Afrika Magharibi yaliingilia kati na Jammeh kutorokea Guinea Ya Ikweta ikiwa ni baada ya kukaa madarakani tangu mwaka 1994
======
A Gambian former beauty queen on Thursday accused former President Yahya Jammeh of raping her to punish her for rejecting his marriage proposal, in evidence to the country's truth and reconciliation commission.
"What he wanted to do was to teach me a lesson, what he wanted to do is manifest his ego," Fatou Jallow said.
"There were words like 'who do you think you are?', that he is the president and that he gets any woman that he wants," Jallow told Gambia's Truth, Reconciliation and Reparations Commission (TRRC).
Jammeh fled the country in January 2017 after losing presidential elections and initially refusing to step down.
power in a bloodless coup in July 1994 and was repeatedly re-elected in disputed circumstances until being defeated in December 2016 by the relatively unknown Adama Barrow.
After other West African states intervened, he fled into exile in the central African state of Equatorial Guinea.
The TRRC was set up to review abuses under Jammeh.
-Daily Monitor-