GALLERY: What are some rare pictures that you have never seen? Here are some of them...

The Humble Dreamer

JF-Expert Member
Oct 12, 2015
7,440
10,232
. Albert Einstein enjoying a summer day at Nassau Point, Long Island, New York in 1939
20200419_120909_rmscr-1.jpg

20200419_140531_rmscr-1.jpg

20200419_140723_rmscr-1.jpg

20200419_141210_rmscr-1.jpg




.Adolf Hitler practicing for his speech, 1925.
20200419_120915_rmscr-1.jpg

Heinrich Hoffmann, ambaye alikua mpiga picha wa Adolf, alimpiga picha hizi kwaajili ya maandilizi ya 'Speech'. Mpiga picha wake alimpiga mbele ya kioo na baadaye kuzitathmini na jinsi atakavyoonekana mbele ya umma.
Heinrich Hoffmann, aliagizwa picha hizi kua siri ila baada ya Adolf kuondoka duniani, studio yake ilitumika kupata picha hizi.
Hii ilikua ni mwaka 1925 baada ya Hitler kutoka kifungoni.

20200419_134843_rmscr-1.jpg

20200419_134849_rmscr-1.jpg
20200419_134901_rmscr-1.jpg
20200419_134925_rmscr-1.jpg
20200419_134930_rmscr-1.jpg



.Operation Babylift viatenamese orphans transported to America by plane 1975
20200419_120757_rmscr-1.jpg


Hii operation babylift ilitokea katika nchi ya Vietnam ambapo ilihusu kuokoa watoto pamoja na watu wengine na kuwapeleka America na nchi nyingine kama Australia, France, Germany na Canada. Hii ilitokana na vita iliyokuwepo eneo la South vietnam ambapo ilianza April 03-26,1975, badaye ilikuja kuitwa 'Republic of Vietnam'. Zaidi ya watu 3300 waliokolewa.

Hapa chini ni picha ikimwonyesha CIA akiokoa baadhi ya watu kwa kutumia ngazi, kipindi hiko 1975
20200419_124734_rmscr-1.jpg



.Testing new bullet proof vest, 1923
20200419_120736_rmscr-1.jpg

Ni askari wa Kimarekani, anaye-shoot alisimama umbali wa mita 3. Hii vest ilikua na uzito wa 5kg.
20200419_125837_rmscr-1.jpg


. Nagashaki, 20 minutes after atomic bombing in August 9,1945.
20200419_131600_rmscr-1.jpg

Hili bomu lilikua na uzito wa tani 5 na walilipa jina la 'Fat man'.
20200419_132120_rmscr-2.jpg

Waliopona kipindi kile, wanayo machache kusema walichoona




. Mohammad Ali convinces a man against committing suicide, circa 1981.
20200419_130829_rmscr-1.jpg

Tukio hili Alli alilifabya 1981 mjini Los angeles, baada ya kupata taarifa, Alli alikimbilia eneo la tukio na hiki ndicho alichosema ""I’m your brother, I want to help you,"". Huyu alietaka kujirusha alikua muamerika mwenye asili ya Africa. Video fupi ya tukio 👇👇













Still loading.......
 
Building of Berlin wall on August 2, 1961
20200419_160756_rmscr-1.jpg

Ukuta huu ulianza rasmi 1961, lengo ilikua kutenganisha West Germans from East ones na kipind kile haikurusiwa kwa yeyote kuvuka ukuta huu. Hao waliosimama pembeni ni maaskari wakisimamia zoezi zima.

👇👇Ujenzi ukiendelea👇👇
20200419_161533_rmscr-1.jpg

20200419_161351_rmscr-1.jpg
 
Nimefurahishwa na picha ya mohammed ally. Watu weusi wanna utu sana.
Tupac alisafiri umbali mrefu kwenda kumpa moyo mtoto aliyekuwa na kansa

pia michael jackson alifanya hivo kwa mtoto aliyeugua ukimwi enzi hizo ukimwi ndio umeanza
back to ally, jamaa alikuwa na akili sana ukitazama interviews zake nje ya uringo, ni mcheshi kama tyson


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom