The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,440
- 10,232
. Albert Einstein enjoying a summer day at Nassau Point, Long Island, New York in 1939
.Adolf Hitler practicing for his speech, 1925.
Heinrich Hoffmann, ambaye alikua mpiga picha wa Adolf, alimpiga picha hizi kwaajili ya maandilizi ya 'Speech'. Mpiga picha wake alimpiga mbele ya kioo na baadaye kuzitathmini na jinsi atakavyoonekana mbele ya umma.
Heinrich Hoffmann, aliagizwa picha hizi kua siri ila baada ya Adolf kuondoka duniani, studio yake ilitumika kupata picha hizi.
Hii ilikua ni mwaka 1925 baada ya Hitler kutoka kifungoni.
.Operation Babylift viatenamese orphans transported to America by plane 1975
Hii operation babylift ilitokea katika nchi ya Vietnam ambapo ilihusu kuokoa watoto pamoja na watu wengine na kuwapeleka America na nchi nyingine kama Australia, France, Germany na Canada. Hii ilitokana na vita iliyokuwepo eneo la South vietnam ambapo ilianza April 03-26,1975, badaye ilikuja kuitwa 'Republic of Vietnam'. Zaidi ya watu 3300 waliokolewa.
Hapa chini ni picha ikimwonyesha CIA akiokoa baadhi ya watu kwa kutumia ngazi, kipindi hiko 1975
.Testing new bullet proof vest, 1923
Ni askari wa Kimarekani, anaye-shoot alisimama umbali wa mita 3. Hii vest ilikua na uzito wa 5kg.
. Nagashaki, 20 minutes after atomic bombing in August 9,1945.
Hili bomu lilikua na uzito wa tani 5 na walilipa jina la 'Fat man'.
Waliopona kipindi kile, wanayo machache kusema walichoona
. Mohammad Ali convinces a man against committing suicide, circa 1981.
Tukio hili Alli alilifabya 1981 mjini Los angeles, baada ya kupata taarifa, Alli alikimbilia eneo la tukio na hiki ndicho alichosema ""I’m your brother, I want to help you,"". Huyu alietaka kujirusha alikua muamerika mwenye asili ya Africa. Video fupi ya tukio 👇👇
Still loading.......
.Adolf Hitler practicing for his speech, 1925.
Heinrich Hoffmann, ambaye alikua mpiga picha wa Adolf, alimpiga picha hizi kwaajili ya maandilizi ya 'Speech'. Mpiga picha wake alimpiga mbele ya kioo na baadaye kuzitathmini na jinsi atakavyoonekana mbele ya umma.
Heinrich Hoffmann, aliagizwa picha hizi kua siri ila baada ya Adolf kuondoka duniani, studio yake ilitumika kupata picha hizi.
Hii ilikua ni mwaka 1925 baada ya Hitler kutoka kifungoni.
.Operation Babylift viatenamese orphans transported to America by plane 1975
Hii operation babylift ilitokea katika nchi ya Vietnam ambapo ilihusu kuokoa watoto pamoja na watu wengine na kuwapeleka America na nchi nyingine kama Australia, France, Germany na Canada. Hii ilitokana na vita iliyokuwepo eneo la South vietnam ambapo ilianza April 03-26,1975, badaye ilikuja kuitwa 'Republic of Vietnam'. Zaidi ya watu 3300 waliokolewa.
Hapa chini ni picha ikimwonyesha CIA akiokoa baadhi ya watu kwa kutumia ngazi, kipindi hiko 1975
.Testing new bullet proof vest, 1923
Ni askari wa Kimarekani, anaye-shoot alisimama umbali wa mita 3. Hii vest ilikua na uzito wa 5kg.
. Nagashaki, 20 minutes after atomic bombing in August 9,1945.
Hili bomu lilikua na uzito wa tani 5 na walilipa jina la 'Fat man'.
Waliopona kipindi kile, wanayo machache kusema walichoona
. Mohammad Ali convinces a man against committing suicide, circa 1981.
Tukio hili Alli alilifabya 1981 mjini Los angeles, baada ya kupata taarifa, Alli alikimbilia eneo la tukio na hiki ndicho alichosema ""I’m your brother, I want to help you,"". Huyu alietaka kujirusha alikua muamerika mwenye asili ya Africa. Video fupi ya tukio 👇👇
Still loading.......