Galaxy s4

kalendi

JF-Expert Member
Mar 17, 2012
1,327
521
Habari za leo wanajf!

Jana nimenunua s4 kwa mtu bado tu ina hali nzuri.
Nikaweka laini yangu kisha nika-restore ili nianze kutumia.

Nilipoingia playstore ikanielekeza apps za ku-update nikafanya hivyo kama inavyonielekeza. Lakini nikagundua tatizo la kila nikiweka kifurushi kinapitiliza(yaani kinaisha kabla ya kutumia).

Nika-uninstall baadhi ya apps kwa kubuni, lakini sasa naona tena iko sloo sana.

Naomba kwa wajuzi hii mambo nifanyeje ili nipate speed ya kawaida.

Asante nawasilisha!
 
Habari za leo wanajf!

Jana nimenunua s4 kwa mtu bado tu ina hali nzuri.
Nikaweka laini yangu kisha nika-restore ili nianze kutumia.

Nilipoingia playstore ikanielekeza apps za ku-update nikafanya hivyo kama inavyonielekeza. Lakini nikagundua tatizo la kila nikiweka kifurushi kinapitiliza(yaani kinaisha kabla ya kutumia).

Nika-uninstall baadhi ya apps kwa kubuni, lakini sasa naona tena iko sloo sana.

Naomba kwa wajuzi hii mambo nifanyeje ili nipate speed ya kawaida.

Asante nawasilisha!

mkuu s4 ni sawa na kompyuta ndio maana mb zinaisha haraka.mfano mimi mb 350 ninazopata ktk kifushi cha 2000 airtel yatosha kinakaa siku 3 tu.kwanza simu yenyewe inakutamanisha kubrowse kila unachokitaka maana ipo fasta sana
 
mkuu s4 ni sawa na kompyuta ndio maana mb zinaisha haraka.mfano mimi mb 350 ninazopata ktk kifushi cha 2000 airtel yatosha kinakaa siku 3 tu.kwanza simu yenyewe inakutamanisha kubrowse kila unachokitaka maana ipo fasta sana

Je? Kubusu kuzembea kunasababishwa na nini?
 
Deactivate kitu inaitwa "Auto-sync", itafute kwenye settings.
Sidhani kama hilo ni suluhisho kwa slow speed. Auto-sync ni simply a feature inayofanya atumie account yake aliyoiset mwenyewe kwenye apps zote zitakazohitaji yeye kupoteza muda anaandika account yake, au kusunc contacts kwenye apps zitakazohitaji feature kama hii hai-run kwenye background kiasi cha kuslow down simu, inafunguka pale tu inapojaribu kuwa accessed na certain apps.....

Kama inaenda slow ni either ukifungua apps zako huzifungi, unaziacha zote zina-run kwenye background na kama ni heavy apps basi lazima iende slow, cha kufanya funga background apps uache zile tu unazotumia, afu muda mwingine unawezakua unahitaji updating your OS labda kama kulikua na errors ziwe fixed, pia usipoteze muda kuweka antivirus kama wewe ni mpenda antivirus, zinakula tu nafasi bure, na apps nyingi zinazodai kuongeza battery life au speed, hua ni scam tu.. Ukifanya yote hayo bado iende slow basi hiyo yaweza kua clone tu isiwe the original S4..
 
Sidhani kama hilo ni suluhisho kwa slow speed. Auto-sync ni simply a feature inayofanya atumie account yake aliyoiset mwenyewe kwenye apps zote zitakazohitaji yeye kupoteza muda anaandika account yake, au kusunc contacts kwenye apps zitakazohitaji feature kama hii hai-run kwenye background kiasi cha kuslow down simu, inafunguka pale tu inapojaribu kuwa accessed na certain apps.....

Kama inaenda slow ni either ukifungua apps zako huzifungi, unaziacha zote zina-run kwenye background na kama ni heavy apps basi lazima iwnde slow, cha kufanya funga background apa uache zile tu unazotumia, afu muda mwingine unawezakua unahitaji updating your OS labda kama kulikua na errors ziwe fixed, pia usipoteze muda kuweka antivirus kama wewe ni mpenda antivirus, zinakula tu nafasi bure, na apps nyingi zinazodai kuongeza battery life au speed, hua ni scam tu.. Ukifanya yote hayo bado iende slow basi hiyo yaweza kua clone tu isiwe the original S4..


Asante kwa maelekezo, ngoja nijaribu!
 
Sidhani kama hilo ni suluhisho kwa slow speed. Auto-sync ni simply a feature inayofanya atumie account yake aliyoiset mwenyewe kwenye apps zote zitakazohitaji yeye kupoteza muda anaandika account yake, au kusunc contacts kwenye apps zitakazohitaji feature kama hii hai-run kwenye background kiasi cha kuslow down simu, inafunguka pale tu inapojaribu kuwa accessed na certain apps.....

Kama inaenda slow ni either ukifungua apps zako huzifungi, unaziacha zote zina-run kwenye background na kama ni heavy apps basi lazima iende slow, cha kufanya funga background apps uache zile tu unazotumia, afu muda mwingine unawezakua unahitaji updating your OS labda kama kulikua na errors ziwe fixed, pia usipoteze muda kuweka antivirus kama wewe ni mpenda antivirus, zinakula tu nafasi bure, na apps nyingi zinazodai kuongeza battery life au speed, hua ni scam tu.. Ukifanya yote hayo bado iende slow basi hiyo yaweza kua clone tu isiwe the original S4..
Nili suggest deactivation of auto sync kutatua hilo la bundle kuisha mapema. na si kutatua la simu kuwa slow.
 
Mkuu kwani una apps nyingi sana na nzito
Hebu jishugulishe kujua kama S4 yako ni orijino au mchina

Hili dude kama ni mtumiaji wa kawaida wa simu huwa lipo very fasta
Labda kama umelijaza matakataka ya apps kibao
 
Mkuu kwani una apps nyingi sana na nzito
Hebu jishugulishe kujua kama S4 yako ni orijino au mchina

Hili dude kama ni mtumiaji wa kawaida wa simu huwa lipo very fasta
Labda kama umelijaza matakataka ya apps kibao

Labda mkuu naomba unisaidie kuangalia mimi nimejaribu kuangalia kupitia hapa nikaona kama orijino;-
 

Attachments

  • 1400767240401.jpg
    1400767240401.jpg
    52.8 KB · Views: 217
Na hapa pia!
 

Attachments

  • 1400767701707.jpg
    1400767701707.jpg
    59.3 KB · Views: 190
Nilipoandika hivi *#0*# ikanionyesha;-
 

Attachments

  • 1400767917322.jpg
    1400767917322.jpg
    38.4 KB · Views: 229
Nilipobonyeza sensor ikanionyesha hivi;'
 

Attachments

  • 1400768104956.jpg
    1400768104956.jpg
    66.5 KB · Views: 223
Mkuu kwani una apps nyingi sana na nzito
Hebu jishugulishe kujua kama S4 yako ni orijino au mchina

Hili dude kama ni mtumiaji wa kawaida wa simu huwa lipo very fasta
Labda kama umelijaza matakataka ya apps kibao

Kuhusu apps mimi sijaweka nyingi lakini zilizokuwepo kwenye simu ni zaidi ya 26
 
So sorry waungwana nawatoa kwenye mada kidogo ila ni kuhusu hili hili la s4 lcd screen ya imepasuka kwa dar naweza wapi replacement na bei gani asante sana
 
Nilipoandika hivi *#9900# ilinionyesha;-
 

Attachments

  • 1400769218232.jpg
    1400769218232.jpg
    45.4 KB · Views: 190
Labda mkuu naomba unisaidie kuangalia mimi nimejaribu kuangalia kupitia hapa nikaona kama orijino;-

Mkuu hiyo s4 feki au clone.....
s4 original ina 16/32/64 GB internal memory ila yko wew ina 8GB....
pia RAM yko imebak 198mb laZma iwe slow tu....
msaada mwingine embu angalia quality ya picha inayo piga...alafu upload tuione
 
Mkuu hiyo s4 feki au clone.....
s4 original ina 16/32/64 GB internal memory ila yko wew ina 8GB....
pia RAM yko imebak 198mb laZma iwe slow tu....
msaada mwingine embu angalia quality ya picha inayo piga...alafu upload tuione


Sawa mkuu ngoja nijaribu!
 
Mkuu hiyo s4 feki au clone.....
s4 original ina 16/32/64 GB internal memory ila yko wew ina 8GB....
pia RAM yko imebak 198mb laZma iwe slow tu....
msaada mwingine embu angalia quality ya picha inayo piga...alafu upload tuione


Mkuu nimejaribu kuangalia s4 ya jamaa mwingine jirani nayo nimekuta inafanana na hii.
Nimejaribj pia kwenda kwa watu kama wawili wengine watumia na wazoefu wa hizi kitu. Lakini wameniam ia hii ni orijino
 
Na pia leo nimetoa app ya antivirus kuanzia asubuhi ni H+ kwenda mbele yaani ni vifurushi na chaji tu ndio zinaamua.

Dude ni tamu kinoma nimeanza hata kusahau ile note2 maanake jana nilianza kuikumbuka!
 
Na pia leo nimetoa app ya antivirus kuanzia asubuhi ni H+ kwenda mbele yaani ni vifurushi na chaji tu ndio zinaamua.

Dude ni tamu kinoma nimeanza hata kusahau ile note2 maanake jana nilianza kuikumbuka!
big up mkuu karibu uinjoi ktk ulimwengu wa s4
 

Attachments

  • 1400864665412.jpg
    1400864665412.jpg
    8.3 KB · Views: 198

Similar Discussions

Back
Top Bottom