kijazi07
JF-Expert Member
- Feb 14, 2016
- 1,030
- 2,168
Anaejua namna ya kufanya hii s pen i connect mweny simu naomba msaada yaaan ni kwamba inafanya kazi kama kawaida ina sense vizur na kila kitu kipo sawa isipokuwa hilo la kucconect maana isipo conect kweny simu kunabaadhi ya mambo siwez yafanya
naomben msaada wakuu wa kaz.
Sent using Jamii Forums mobile app
naomben msaada wakuu wa kaz.
Sent using Jamii Forums mobile app