Zurie
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 1,743
- 4,270
Wachimbaji wadogo wanne wanahofiwa kufa baada ya kufukiwa na kifusi Cha mchanga wakati wakichimba madini katika Kijiji Cha Iyogwe, gairo
Taarifa hii ni kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Chama cha Wachimbaji madini mkoa wa Morogoro, Dr. Omary Mzeru.
Taarifa zaidi zitafuata...
Taarifa hii ni kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Chama cha Wachimbaji madini mkoa wa Morogoro, Dr. Omary Mzeru.
Taarifa zaidi zitafuata...