Gaijin na Regia: JF Women of the Year 2010

Status
Not open for further replies.
Superman na wengineo.Ninawashukuru wote,Superman kwa kuanzisha thread hii na wote walionipendekeza katika hatua za awali mpaka hatua ya kunipigia kura.Nawashukuru sana.

Binafsi huwa ninapenda mashindano ya aina yeyote ile ili mradi tu yafuate taratibu na kanuni.Niliona na kufuatilia tangu mchakato ulipofikia hatua ya kupigiwa kura za kupata mshindi.Ofcoz niliona mapungufu kadhaa lakini by then nilikuwa nimeshachelewa lakini nitayaweka wazi badaye kwaajili ya kusadia michakato kama hii kwa siku zijazo.Shindano lilikuwa dogo laikni limeleta changamoto kadhaa,linahuisha JF na hata chipukizi wengine wanapata morale,wawe wanaume au wanawake.Binafsi nilifurahi nilipopendekezwa and am still proud of it.

Nimesoma mawazo ya Gaijin kuhusiana na mtazamo wake kuhusu tuzo.Amependekeza mimi ndio nipewe tuzo ya shindano hili.Kwa kuwa aliyependekeza naye ni mshindi basi nami nikiwa kama mwanasiasa ninayeamini katika mashindano mbalimbali na kama mwanaharakati wa masuala ya jinsia na ulemavu,nilnayeamini maana halisi ya mfumo dume,Ninaipokea tuzo hii ya shilingi laki moja kwa mikono miwili na kwa heshima na taadhima.

Superman.Naomba zawadi hiyo umkabidhi Maxence kama mchango wangu kwa JF...please fikisha.


Nashukuru sana kuwa JF Woman of the year 2010.

Aluta continua
I will remember you for your humility, your confidence, and your ability to take your decisions based on circumstance...
It hasn't been easy for you, being a woman, being disabled, but you did not consider this a blockage.
Just like you say in this thread, you made the most of it in your endeavours.
Rest in peace sister.
 
Status
Not open for further replies.
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom