PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,211
- 4,169
yule Aliyepoteza Uhai kwa Ajili Yetu ni MUNGU, Angekuwa ni mungu huyu Angekuwa Kaburini.Ni kweli hawa magaidi wanaoua watu hovyo Mungu hajawatuma.
Lakini je yule aliyeamua kupoteza uhai wake kwa ajiri ya watu wake ni Mungu au mungu?
Huyu hawezi kujitetea mpaka atetewe na watu wafe kwa ajili yake.
Ndiyo maana Ipo tufauti kati ya mungu na MUNGU, nadhani umenipata vizuri Ndugu.