Gaddafi alikuwa na utajiri wa Sh 140 trilioni

Mkuu hii haitafanywa kwa Gaddafi tuu. In fact, walishafanya kwa akina Mobutu Seseseko, Abacha, Chiluba na wengine wengi. Unless, it is proved that the money belongs to the respective government, then zinataifishwa. Na hili ndilo tatizo kubwa kwa viongozi wetu wa Kiafrika. Wanaiba pesa kibao za umma wanazificha Uswisi, then wanaondolewa madarakani na pesa inapotea. Nani alaumiwe hapa?
Mkuu nimeomba unisaide kutafsiri hiyo habari na uje na conclusion ya tofauti na yangu endapo nimetafsiri vibaya.

Ndo kujifunza humu JF,nipo tayari kukosolewa kamanimeielewa taarifa hiyo kwa namna ya tofauti na inavyotakiwa ieleweke.

Natanguliza shukrani.
 
  • Thanks
Reactions: EMT


Mkuu siamni unachosema. Kwa hiyo kama Obama anataka kufungua account CRDB inabidi aje Tanzania personally? Halafu unafikiri viongozi wakubwa kama hawa wanafungua bank account kama yako?




Mkuu upo dunia ipi? Mfano https://www.barclaysbankaccountapply.co.uk/index.html.
Wewe uimewahi kufungua account online au unamjua mtu alowahi kufanya hivyo akiwa haishi nchi hiyo?.. Sasa nakuomba wewe jaza hiyo form halafu unambie kama hutaulizwa kama wewe ni mkazi wa UK na hata ukifika ktk address itakupa zip code ambayo kama uko Marekani au Tz haitawezekana. Hata ukitaka ku apply Canadian passport online utaipata lakini haipo kwa kila mtu. Hii ni kulahisisha kazi ya kujaza form ya maombi kwa wakazi wenye ku qualify kufanya hivyo haina maana nyingine..Hivi kweli hata wewe mkuu wangu umeingia mkenge huu?

Na hata kama ukiweza mwisho wa siku utaambia branch gani iliyokaribu na wewe uende ukamalizie kuweka sahihi na kadhalika. Hii Application ni sawa na unavyoomba visa online haina maana passport yako itajiwekea visa ukikubaliwa...Sikia bank ni lazima wawe na info zako zinaonyesha vitu wanavyoelewa na kisheria, na kama itawezekana hivi basi money laundry ni halali kabisa manake naweza fungua account UK kwa jina bandia na likaonekana halali kwa sababu TZ hatuna vitambulisho lakini unaweza kutengeneza kulinganana wanavyotaka.. Ukisema nafanya kazi Tanesco, Ukerewe huyu mtu wa Bank ya Uingereza atakuelewa kweli! Haya naomba hizo link za CRDB nami nifungue account maanake kwa Bongo kila kitu kinawezekana..

Nakumbuka tu ya kwamba nilikwenda Bongo kufungua account Barclays wakataka payslip na barua kutoka kwa mwajiri wangu toka huku na maswali kibao. Mwisho wa yote haikuwezekana hadi nilipofungua na kitambulisho cha kibongo kama mkazi, hii ni mwaka jana tu.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Gadhafi and Libya
1.There was no electricity bill in Libya; electricity was free for all its citizens
2. There was no interest on loans, banks in Libya are state-owned and loans given to all its citizens at 0% interest by law
3. Home considered a human right in Libya –Gaddafi vowed that his parents would not get a house until everyone in Libya had a home. Gaddafi’s father has died while him, ...his wife and his mother are still living in a tent
4. All newly weds in Libya receive $60,000 Dinar (US$50,000) by the government to buy their first apartment so to help start up the family
5. Education and medical treatments are free in Libya. Before Gaddafi only 25% of Libyans are literate. Today the figure is 83%
6. Should Libyans want to take up farming career, they would receive farming land, a farming house, equipments, seeds and livestock to kick-start their farms –all for free
7. If Libyans cannot find the education or medical facilities they need in Libya, the government funds them to go abroad for it – not only free but they get US$2,300/mth accommodation and car allowance
8. In Libya, if a Libyan buys a car, the government subsidized 50% of the price
9. The price of petrol in Libya is $0.14 (N22) per litre
10. Libya has no external debt and its reserves amount to $150 billion – now frozen globally
11. If a Libyan is unable to get employment after graduation the state would pay the average salary of the profession as if he or she is employed until employment is found.
12. A portion of Libyan oil sale is, credited directly to the bank accounts of all Libyan citizens
13. A mother who gave birth to a child receive US$5,000
14. Gaddafi carried out the world’s largest irrigation project, known as the Great Man-Made River project, to make water readily available throughout the desert country

So What's the Problem with Libyans?

Ukiwa na asilimia 40 ya watu wako unemployed hizo fedha zote ambazo alikuwa anaweza kufanya vitu "bure" zilikuwa zinatokana na nini?
 
Ukiwa na asilimia 40 ya watu wako unemployed hizo fedha zote ambazo alikuwa anaweza kufanya vitu "bure" zilikuwa zinatokana na nini?
Mwanakijiji mkuu wangu weee... Libya hela ya mafuta tu inaweza kulisha nchi nzima wasifanye kazi waliobakia wote na kwa miaka iwe leo kuwa na unemployed 40%?.. Hata wewe hapo ulipo sii ajabu una mke na watoto na hawafanyi kazi hiyo hela ya kuwalisha inatoka wapi?

Ebu nikuulize deni la Marekani hadi mnataka kuanguka kiuchumi ni ngapi vile? kisha huyu Ghadaffi alikuwa na ngapi? yaani mshenzi yule angeweza kuwalipia deni lenu na bado nchi yake ikajiendesha kiuchumi leo unashangaa haya? kubali tu kwamba mnazipigia mahesabu hela za Walibya! dalili zote zinajionyesha...
Jamani huyu jamaa alikuwa mshenzi tena sii kidogo lakini sifa zake mpeni na wala hana mfano...
 
Mwanakijiji mkuu wangu weee... Libya hela ya mafuta tu inaweza kulisha nchi nzima wasifanye kazi waliobakia wote na kwa miaka iwe leo kuwa na unemployed 40%?.. Hata wewe hapo ulipo sii ajabu una mke na watoto na hawafanyi kazi hiyo hela ya kuwalisha inatoka wapi?

Ebu nikuulize deni la Marekani hadi mnataka kuanguka kiuchumi ni ngapi vile? kisha huyu Ghadaffi alikuwa na ngapi? yaani mshenzi yule angeweza kuwalipia deni lenu na bado nchi yake ikajiendesha kiuchumi leo unashangaa haya? kubali tu kwamba mnazipigia mahesabu hela za Walibya! dalili zote zinajionyesha...
Jamani huyu jamaa alikuwa mshenzi tena sii kidogo lakini sifa zake mpeni na wala hana mfano...

Mzee najua sana kuwa alikuwa na fedha nyingi sana ndio I'm trying to make a point. Hivi unemployment Libya ilikuwa ni kiasi gani kabla ya mapinduzi haya?
 
Mzee najua sana kuwa alikuwa na fedha nyingi sana ndio I'm trying to make a point. Hivi unemployment Libya ilikuwa ni kiasi gani kabla ya mapinduzi haya?
Hata sielewi maanake vitu vingi vimeisha ondolewa ila nachokumbuka kutazama ni kwamba Libya was the only African country ambayo ilikuwa on top of human development kuliko nchi zote za Afrika na hata zingine za Ulaya.

Na sijui unataka kutafuta kipi lakini kama graduate ambaye hafanyi kazi analipwa sawa na mshahara wa yule anayefanya kazi, huyu asiyefanya kazi utamweka wapi?. Hivyo inategemea unatazama kitu gani ili kupata nini...Nchi haina deni na with 150bil in reserves! mkuu wangu acha masihala, sii mchezo huyu jamaa kaitikisa dunia with that info na hawataki kuiweka in a positive way kwa sababu za kisiasa na haiwezekani wampe sifa hizi leo...
 
Hizo assets zilikuwa chini ya hizi companies/institutions...
The companies include: Afriqiyah Airways, National Oil Corporation, Libya Investment Authority, Libya Africa Investment Portfolio, Libyan African Investment Company, Libyan Arab Foreign Investment Company, Libya Arab Foreign Bank, Economic and Social Development Fund Company, Gomhouria Bank, Al Wafa Bank, Agricultural Bank, National Commercial Bank, National Banking Corporation, Sahara Bank, Savings and Real Estate Investment Bank and First Gulf Libyan Bank.
 
Wewe uimewahi kufungua account online au unamjua mtu alowahi kufanya hivyo akiwa haishi nchi hiyo?.. Sasa nakuomba wewe jaza hiyo form halafu unambie kama hutaulizwa kama wewe ni mkazi wa UK na hata ukifika ktk address itakupa zip code ambayo kama uko Marekani au Tz haitawezekana. Hata ukitaka ku apply Canadian passport online utaipata lakini haipo kwa kila mtu. Hii ni kulahisisha kazi ya kujaza form ya maombi kwa wakazi wenye ku qualify kufanya hivyo haina maana nyingine..Hivi kweli hata wewe mkuu wangu umeingia mkenge huu?

Na hata kama ukiweza mwisho wa siku utaambia branch gani iliyokaribu na wewe uende ukamalizie kuweka sahihi na kadhalika. Hii Application ni sawa na unavyoomba visa online haina maana passport yako itajiwekea visa ukikubaliwa...Sikia bank ni lazima wawe na info zako zinaonyesha vitu wanavyoelewa na kisheria, na kama itawezekana hivi basi money laundry ni halali kabisa manake naweza fungua account UK kwa jina bandia na likaonekana halali kwa sababu TZ hatuna vitambulisho lakini unaweza kutengeneza kulinganana wanavyotaka.. Ukisema nafanya kazi Tanesco, Ukerewe huyu mtu wa Bank ya Uingereza atakuelewa kweli! Haya naomba hizo link za CRDB nami nifungue account maanake kwa Bongo kila kitu kinawezekana..

Nakumbuka tu ya kwamba nilikwenda Bongo kufungua account Barclays wakataka payslip na barua kutoka kwa mwajiri wangu toka huku na maswali kibao. Mwisho wa yote haikuwezekana hadi nilipofungua na kitambulisho cha kibongo kama mkazi, hii ni mwaka jana tu.

Hap kwenye red ipo kwa watu gani? Mkuu hivi mtu kama Kikwete akienda kufungua account Barclays unafikiri na yeye ataambiwa apeleke kitambulisho chake cha kazi? Obama akitaka kufugua account MNB ataambiwa inambidi aje Tanzania na kitambulishi chake cha kazi? Kwamba iko siku moja utakuwa kwneye foleni moja na Rais Kikwete home or abroad kufungua account?

Mkuu naona kama unaongea too theoretically. Mkuu kwa dunia ya sasa, you don't need to be there personally to open an account. Kama hizo accounts za mafisadi huko Uswisi you can open in person or by mail/correspondence. Ungekuwa fisadi ungejua jinsi zinavyofunguliwa. Cheki hizo info hapo chini.

Opening a Swiss account by mail

It is also possible to open most accounts by mail. Here is how it works:
  1. Fill out an application on our website https://swiss-bank-accounts.com/e/contact/order.asp or print the form and fax it to ++41 21 331 48 40.
  2. We mail you opening documents (we cannot fax nor email them). You need to sign those documents and prepare documents about your economic background and the origin of your deposits (same documents when you open in person).
  3. You need to get an authenticated photocopy of your passport with an apostille. This seal is used to certify that an official document is a true copy. In most countries you can get it from a notary public.
  4. When we receive your documents back we will open your account at the bank. This usually takes 3 to 5 days. As soon as the account is opened you deal exclusively with your bank manager
One of the 7 myths about Swiss bank accounts

3. It's impossible to open an account in Switzerland by correspondence

This is not true. Most of the accounts that we offer can be opened by correspondence as long as you comply with our opening procedures and provide us with the necessary documents. What is more, your banking relations can be conducted by correspondence, using the telephone, Internet banking, bank transfer and credit cards.
 
Hap kwenye red ipo kwa watu gani? Mkuu hivi mtu kama Kikwete akienda kufungua account Barclays unafikiri na yeye ataambiwa apeleke kitambulisho chake cha kazi? Obama akitaka kufugua account MNB ataambiwa inambidi aje Tanzania na kitambulishi chake cha kazi? Kwamba iko siku moja utakuwa kwneye foleni moja na Rais Kikwete home or abroad kufungua account?

Mkuu naona kama unaongea too theoretically. Mkuu kwa dunia ya sasa, you don't need to be there personally to open an account. Kama hizo accounts za mafisadi huko Uswisi you can open in person or by mail/correspondence. Ungekuwa fisadi ungejua jinsi zinavyofunguliwa. Cheki hizo info hapo chini.

Opening a Swiss account by mail

It is also possible to open most accounts by mail. Here is how it works:
  1. Fill out an application on our website https://swiss-bank-accounts.com/e/contact/order.asp or print the form and fax it to ++41 21 331 48 40.
  2. We mail you opening documents (we cannot fax nor email them). You need to sign those documents and prepare documents about your economic background and the origin of your deposits (same documents when you open in person).
  3. You need to get an authenticated photocopy of your passport with an apostille. This seal is used to certify that an official document is a true copy. In most countries you can get it from a notary public.
  4. When we receive your documents back we will open your account at the bank. This usually takes 3 to 5 days. As soon as the account is opened you deal exclusively with your bank manager
One of the 7 myths about Swiss bank accounts

3. It's impossible to open an account in Switzerland by correspondence

This is not true. Most of the accounts that we offer can be opened by correspondence as long as you comply with our opening procedures and provide us with the necessary documents. What is more, your banking relations can be conducted by correspondence, using the telephone, Internet banking, bank transfer and credit cards.
Mkuu unajua unachosha hata kuelezea... Obama hawezi kufungua account Tanzania hilo kwanza! na hata kama atataka kufungua Account atakuwa na njia yake ambayo wewe na mimi hatuwezi kupita..lakini as a personal account lazima awepo banki anayotaka kufungua account hiyo.

Ni kweli kama angekuwa Obama wasingemuuliza maswali hayo na hata Ghadaffi kwa sababu tanzania kila kitu kinawezekana, lakini sio Uingereza na Marekani unambie Ghadaffi ana account zake kafungua online. Haya sasa hivi umekuja na ya Swissbank, yaani ya Barclays imeishia wapi tena? au umeona ukweli kwa hiyo unabahatisha huna hakika au sio?

Mimi nimeishi Swiss mji unaitwa Basil, hakuna benki inaitwa Swiss bank - HAKUNA, hawa wanajiita Swiss bank ktk maswala tofauti na bank tunazozungumzia hapa - wana account haina maana ni bank account tunazozungumzia hapa..Haya, mimi nina account na kampuni yangu ya simu kwa hiyo naweka mafedha huko sio?..fanya utafiti wako vizuri..
 
  • Thanks
Reactions: EMT
EMT,
Labda nikuulize swali dogo la banking. Mimi hapa nina Usd 50,000 nitazi deposit vipi ktk bank ya CRDB, au hiyo ya Swiss nikiwa huku North America? Halafu sijui hizo banki zenu zinafungua account ya mtu bila kuweka (deposit) hela hata kidogo au inakuwa vipi?....
 
Mkuu nimeomba unisaide kutafsiri hiyo habari na uje na conclusion ya tofauti na yangu endapo nimetafsiri vibaya.

Ndo kujifunza humu JF,nipo tayari kukosolewa kamanimeielewa taarifa hiyo kwa namna ya tofauti na inavyotakiwa ieleweke.

Natanguliza shukrani.

Mkuu iko hivi. Fedha na asserts zilizokuwa frozen ziko za aina mbili. Moja ni zile assets ambazo zinamilikuwa na Libya kupitia the Libyan Investment Fund kama vile gazeti la Financial Times la Uingereza (about 3.27 percent stake in its shares) or the Libyan Arab Foreign Bank. Nyingine ni zile zinazomilikiwa na watu binafisi ambao ni akina Gaddafi, watoto, na watu wengine. Kama ile nyumba yenye dhamani ya £11 million huko London iliyochukuliwa na squatters ni personal property. Sasa watu wanachangaya hapa. Fedha na assets zinazomilikiwa na Libya ina bidi zirudishwe Libya.

Lakini zile zinazomilikiwa na watu binafisi na akina Gaddafi and his Cos sidhani kama zitaturudishwa. I am sure like other despots such as Saddam Hussein, Mobutu Sese Seko, Mubarak, etc Gaddafi is likely to have also squirreled away large sums of money and assets in secret numbered accounts, or lockbox/deposit box stashes of currency, precious metals and marketable art, collectibles and other indirect holdings. The Gaddafis spent years doing what super rich people all over the world do – they hide it.

Kama ilivyotokea kwa madikteta wengine wenye account za wizi overseas, bankers managing assets for Gaddafi and his family might now act as if the assets belong to them, particularly with those converted into personal holdings. Past experience inaonyesha hivyo. This is possible kwa vile hizo personal accounts huwa zinafunguliwa na kuendeshwa kisirisiri na account holders wakifa, mabenki yanauchuna na kutia pesa ndani.

Nafikiri tatizo hapa ni kujua assets za Libya na zile za Gaddafi personally. Gaddafi na familia yake regarded the Libyan state's wealth and assets as their own. Seeing Libyan state wealth as their own, they kept most money or assets they held overseas such as the Libyan Investment Fund, which would be easier for Gaddafi's successors to recover than assets converted to personal use and then concealed. When they were running the show, the Gaddafis didn't feel they had to distinguish between what was government wealth and what was private.

Mkuu tupo line moja but what I am saying is that uncovering the financial trail will prove difficult and the cash has been invested under false names, holding companies and secret accounts. Kutokana na mchezo waliokuwa wakicheza the Gaddafi family itakuwa ngumu kuchanganyua assets zipi ni mali ya Libya na zipi ni mali binafsi. Kwa mfano angali hii nyumba iliyoko London yenye dhamani ya £10 million inayodaiwa kumilikiwa personally na mtoto wa Gaddafi. Kama huyu mtoto akiuliwa, under what ground Libya itasema hii nyumba ni asset yao?

article-2051912-0D8BAB24000005DC-866_634x425.jpg
 
Mkuu unajua unachosha hata kuelezea... Obama hawezi kufungua account Tanzania hilo kwanza! na hata kama atataka kufungua Account atakuwa na njia yake ambayo wewe na mimi hatuwezi kupita..lakini as a personal account lazima awepo banki anayotaka kufungua account hiyo.

Ni kweli kama angekuwa Obama wasingemuuliza maswali hayo na hata Ghadaffi kwa sababu tanzania kila kitu kinawezekana, lakini sio Uingereza na Marekani unambie Ghadaffi ana account zake kafungua online. Haya sasa hivi umekuja na ya Swissbank, yaani ya Barclays imeishia wapi tena? au umeona ukweli kwa hiyo unabahatisha huna hakika au sio?

Mimi nimeishi Swiss mji unaitwa Basil, hakuna benki inaitwa Swiss bank - HAKUNA, hawa wanajiita Swiss bank ktk maswala tofauti na bank tunazozungumzia hapa - wana account haina maana ni bank account tunazozungumzia hapa..Haya, mimi nina account na kampuni yangu ya simu kwa hiyo naweka mafedha huko sio?..fanya utafiti wako vizuri..

Mkuu hapo kwenye red that is exactly what I am saying. Kwa vile wewe unaunga foleni kufungua account, haina maana kuwa Chenge nae anafanya hivyo. Huko kwingine naona wewe mgumu tuu kuelewa. But the naked fact is unaweza kufungua a bank account in person or by correspondent. Personally, nikiwa nje ya nchi, niliahafungua account in Tanzania by correspondent na pesa nikadeposit na kudraw na bank statements wakawa wananitumia address ya nje ya nchi. Kilichokuwa kinahitajika ni kupost original or certified documents wanazohitaji na kuwa na wadhamini wawili wenye accounts kwenye hiyo bank. They didnt need me to be there in personal.

Mkuu nisome vizuri. Sijaja na Swiss Bank. Nimekuja na Swiss bank account. Hiyo link niliyoweka ina info kuhusu a non resident kufungua a bank account in Switzerland. Wewe unasema Swiss Bank??? The link is all about info on opening Swiss bank accounts. Cheki vizuri hiyo webiste. It is a website of Micheloud & Co. a Switzerland-based, Swiss company run by the Micheloud family. They offer Swiss bank account brokerage services services to Switzerland for investors. They open hundreds of accounts every year with the top Swiss banks and know intimately the Swiss banking system and the account officers they work with.

EMT,
Labda nikuulize swali dogo la banking. Mimi hapa nina Usd 50,000 nitazi deposit vipi ktk bank ya CRDB, au hiyo ya Swiss nikiwa huku North America? Halafu sijui hizo banki zenu zinafungua account ya mtu bila kuweka (deposit) hela hata kidogo au inakuwa vipi?....

Mkuu utadeposit kivipi wakati hujafungua account. Kwani issue ni kudeposit au kungua account? Wewe unasema you can only open a bank account in person. Mimi nasema you can also open a bank account by mail/correspondent. Gaddafi kufungua account Switzerland haina maana kuwa ililmlazimu aende kule personally ili wamfungulie account. He could have sat at his compound in Tripoli and open the account by mail.

Mkuu unafahamu CRDB Tanzanite account? Wakati unafungua hiyo account ni lazima uwe kwenye benki ya CRDB personally? Tanzanite account
 
Inawezekana ameacha kiasi hicho ispokua nafikiri cha kuangalia nini aliwafanyia raia wake. Shule bure mpaka university, Hospital bure. Nyumba bure kwa wasio nauwezo mapaka pesa za kuowa bure.

Challenge kubwa iliyopo je wazungu na viongozi wengine wataweza kumeet standard ya maisha ya Walibya au wataangalia interst zao. Watu wengi wanataja neno freedom lakin kuna wasiwasi mkubwa kua hawajui maana yake. Anaglia kesi ya Iraq.

uditeta sio mzuri lakin kama ukimuondoa dicteta kwa nia nzuri na sio kwa kuangali intest zako wakti raia wanasafa. Inatakikana watu kuamka na maneno kama freedom na mengineyo.

Poor Tanzanians. Kwa hiyo mwizi akikuibia ngómbe wako akauza halafu akakununulia kuku na maandazi na chapati wewe utaridhika kabisa na kuangalia hivi alivyovileta. Kwa mtazamo huu tutaendelea kupewa mrahaba wa asilimia tatu za kile wachimba madini wanachodai kuwa wamepata.
 
hizo zote zilikuwa zake binafsi au za walibya wote? kama alidai ni zake..no wonder they killed him
 
yote kwa yot wana libya ipos iku watamkumbuka ghadafi,kwani hakuna binadamu aliyemkamilifu chini ya jua,unaweza ukatoa afadhali ukaweka potelea mbali
 
Inawezekana ameacha kiasi hicho ispokua nafikiri cha kuangalia nini aliwafanyia raia wake. Shule bure mpaka university, Hospital bure. Nyumba bure kwa wasio nauwezo mapaka pesa za kuowa bure.

Challenge kubwa iliyopo je wazungu na viongozi wengine wataweza kumeet standard ya maisha ya Walibya au wataangalia interst zao. Watu wengi wanataja neno freedom lakin kuna wasiwasi mkubwa kua hawajui maana yake. Anaglia kesi ya Iraq.

uditeta sio mzuri lakin kama ukimuondoa dicteta kwa nia nzuri na sio kwa kuangali intest zako wakti raia wanasafa. Inatakikana watu kuamka na maneno kama freedom na mengineyo.
UFISADI MTUPU!!!!Ambalo ndi gonjwa kuu kwa viongozi wengi wa Afrika .Hayo maisha bora kwa Libya sio kwa sababu ya uongozi bora,bali kwa rasilimali ilizonazo Libya.Kwa rasilimali hizo Walibya walikua wanapashwa kuishi bora zaidi ilivyo.Gadaf alitumia pesa nyingi kuwaonga na kuwanunua viongozi wa kiafrika kwa zawadi mbalimbali ili wamtukuze wakiwemo viongozi wa nchi yetu!Je wamemsaidia kubaki madarakani?Hizo pesa alizojirimbikia kwa ajiri ipi?
 
seriously...is up to them libyans
we have millions of problems to solve in Tz
 
Back
Top Bottom