Gadarword chunguzeni meneja rasilimali wenu

Jun 20, 2016
97
104
Moja kwa moja niende kwenye mada askari wa ulinzi kampuni ya ulinzi Gardaword tunaomba huyu mwajiri wenuJoseph ( Joseph Goliama) awe na ubinadamu

Tangu ameingia kwenye kampuni anaendekeza rushwa na ubabe yaani huwezi kuwa na tatizo akakusikiliza mda wote ni ubabe kwa mfano hapo nyuma tulipewa fursaya mkopo bank ya Stanbic lkn bila kukupa chochote hakusainii fomu.

Pia Kuna baadhi ya watu walichelewa kujaza fomu za bima (NHIF) lakini hutaki kusaini wakati huo kampuni haichangii chochote kwenye hiyo bima lakini hutaki kusaini tunajuwa hata elimu yako ni ya kuunga Ila bosi akakupa ajira.

Kumbuka usisahau wenzio hao walinzi unaowadharau baadhi wanakuacha mbali na hiyo diploma yako jifunze kwa wenzio HR upande waKk hawana mambo ya kishamba Kama yako.

Nadhani Kuna wafanyakazi wenzangu watachangia humu wanao kufahamu.

Ni Mimi mlinzi wa zamu usiku.
 
Moja kwa moja niende kwenye mada askari wa ulinzi kampuni ya ulinzi Gardaword tunaomba huyu mwajiri wenuJoseph ( Joseph Goliama) awe na ubinadamu

Tangu ameingia kwenye kampuni anaendekeza rushwa na ubabe yaani huwezi kuwa na tatizo akakusikiliza mda wote ni ubabe kwa mfano hapo nyuma tulipewa fursaya mkopo bank ya Stanbic lkn bila kukupa chochote hakusainii fomu.

Pia Kuna baadhi ya watu walichelewa kujaza fomu za bima (NHIF) lakini hutaki kusaini wakati huo kampuni haichangii chochote kwenye hiyo bima lakini hutaki kusaini tunajuwa hata elimu yako ni ya kuunga Ila bosi akakupa ajira.

Kumbuka usisahau wenzio hao walinzi unaowadharau baadhi wanakuacha mbali na hiyo diploma yako jifunze kwa wenzio HR upande waKk hawana mambo ya kishamba Kama yako.

Nadhani Kuna wafanyakazi wenzangu watachangia humu wanao kufahamu.

Ni Mimi mlinzi wa zamu usiku.
Weka picha yakee
 
Moja kwa moja niende kwenye mada askari wa ulinzi kampuni ya ulinzi Gardaword tunaomba huyu mwajiri wenuJoseph ( Joseph Goliama) awe na ubinadamu

Tangu ameingia kwenye kampuni anaendekeza rushwa na ubabe yaani huwezi kuwa na tatizo akakusikiliza mda wote ni ubabe kwa mfano hapo nyuma tulipewa fursaya mkopo bank ya Stanbic lkn bila kukupa chochote hakusainii fomu.

Pia Kuna baadhi ya watu walichelewa kujaza fomu za bima (NHIF) lakini hutaki kusaini wakati huo kampuni haichangii chochote kwenye hiyo bima lakini hutaki kusaini tunajuwa hata elimu yako ni ya kuunga Ila bosi akakupa ajira.

Kumbuka usisahau wenzio hao walinzi unaowadharau baadhi wanakuacha mbali na hiyo diploma yako jifunze kwa wenzio HR upande waKk hawana mambo ya kishamba Kama yako.

Nadhani Kuna wafanyakazi wenzangu watachangia humu wanao kufahamu.

Ni Mimi mlinzi wa zamu usiku.
Nahisi Ugomvi wako Wewe na huyo HR wako ( wenu ) ni zaidi ya Masuala yenu ya Kazi ( Utendaji ) na yatakuwa ni ya Kibinafsi ( Kisosholojia ) tu. Malizazeni Ndugu.
 
Sasa kama mtu anakula rushwa na mna ushahidi mnaogopa nini kwenda TAKUKURU ama upige 113 Namba ya Bure kabisa waeleze tatizo ni nini watakuja tu kuhangaika naye , tatizo watanzania tunakwama sana katika kutoa taarifa
 
Back
Top Bottom